Nitagombea ubunge Jimbo la Mwibara

Nitagombea ubunge Jimbo la Mwibara

Endelea kutumika tuone nani mjinga

mbunge hana pesa mfukoni ya kujenga barabara au kufanya chochote,ana pesa ya mshahara tu na vijisenti vya mfuko wa jimbo,wenye bajeti ni serikali na wanaigawa kulingana na vipaumbele vya taifa,huko mwibara hata baskeli hamuwezi kununua,mpewe barabara za lami za nini?
 
Hizo kero zipo kila mahali dogo..!! Haujasema utasaidiana vp na wananchi kuzitatua...!!! Tatizo kubwa la wanasiasa wetu nchi hii ni kuongelea matatizo bila kuja na concrete solutions...!! So dont fall in the same trap...
 
Hizo kero zipo kila mahali dogo..!! Haujasema utasaidiana vp na wananchi kuzitatua...!!! Tatizo kubwa la wanasiasa wetu nchi hii ni kuongelea matatizo bila kuja na concrete solutions...!! So dont fall in the same trap...
Honestly, vijana wenye mawazo sawa na huyu madini chuma ndani ya CDM ni janga kwa CDM na taifa kwa ujumla.
 
Honestly, vijana wenye mawazo sawa na huyu madini chuma ndani ya CDM ni janga kwa CDM na taifa kwa ujumla.

hujitambui,hebu tupe mawazo yako na wewe tuyapime!!! utatumiwa na wauza sembe hadi lini???
 
mbunge hana pesa mfukoni ya kujenga barabara au kufanya chochote,ana pesa ya mshahara tu na vijisenti vya mfuko wa jimbo,wenye bajeti ni serikali na wanaigawa kulingana na vipaumbele vya taifa,huko mwibara hata baskeli hamuwezi kununua,mpewe barabara za lami za nini?

maccm wote mawazo yao ni roho mbaya tu,cdm itafukuza panya wote na bara bara zitajengwa tu.
 
maccm wote mawazo yao ni roho mbaya tu,cdm itafukuza panya wote na bara bara zitajengwa tu.

kujua tatizo na chanzo chake ni 3/4 ya kutatua tatizo. Dogo ameeleza chanzo na ukubwa wake.hivyo akipewa nafasi ya kuisimamia na kuishauri serikali mafanikio yatakuwepo na kwa kuwa serkali kuu itaundwa na cdm mambo yatawezekana.
 
Wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita na nimwanafunzi wachuo kikuu, ninamalengo ya kugombea ubunge jimbo la Mwibara. Sababu Zakugombea ni 1. Tunashida ya barabara tangu uhuru mpaka kesho kitu ambacho kimekuwa nikero kwa wananchi waliowengi 2. Elimu inadolola kila uchao lakini hakuna jitihada zozote za kuiweka sawa 3. Watu wamechoka na utawala dharimu wa ccm kwani hauna tija kwa wananchi waliowengi 4. Hakuna miradi yoyote ya maendeleo kama kilimo cha umwagiliaji kwani jimbo la mwibara limekuwa kinara wa kuomba misaada ya chakula kila kukicha Kulingana nahayo niliyo yasema hapo juu, nimeona ni vyemQa kugombea nafasi hiyo kupitia cdm ili tuasaidiane na wananchi wa mwibara kujikomboa katika lindi kubwa la umaskini. Nawaomba wananxhi wenzangu wa mwibara tushirikiane kuyafanikisha haya.

Umeeleza tu changamoto. Utazitatua kwa mbinu zipi. CDM wewe mchaga.
 
Nyambafu mara form six mara chuo uweleweki rudia ujuwe kusoma na kuwandika. Mkishapewa mnaanza kusema swala la kujenga barabara ni kazi ya serkali wakt umehaidi na unapotaka kugombea apafai cdm haina mashiko tena singida ni chama mfu kwa sasa
 
Nyambafu mara form six mara chuo uweleweki rudia ujuwe kusoma na kuwandika. Mkishapewa mnaanza kusema swala la kujenga barabara ni kazi ya serkali wakt umehaidi na unapotaka kugombea apafai cdm haina mashiko tena singida ni chama mfu kwa sasa

Dogo rudi chekechea ukajifunze kuandika.
 
Kwa sasa niko jimboni mwibara,nimeingia leo na kesho au keshokutwa ntaondoka kurejea Dar. Kwa kweli hali ni mbaya kuliko maelezo. Huku Mwibara na ktk jimbo la Bunda, Ukimpa mtu sh.500 anakuona kama malaika hivi coz watu ni maskini to the maximum na umasikini na ujinga wa wana mwibara na wana jimbo la Bunda ndo unatumika kama kigezo cha ccm kushinda maana hata chumvi tu ya mia ni ngumu kupatikana huku. Kwa kweli ntakuunga mkono kwa hali na mali. Tuko pamoja. Kikubwa tengeneza mtandao kuanzia sasa.
 
hivi Kangi Lugola ni member wa humu jamvini? jamani mjulisheni jimbo linakwenda kwao.

Mgombea mtarajiwa - mbona kuna barabara safi kabisa kutoka Bunda hadi Kisorya na kwingineko na mh.Kangi ni mwekezaji mzuri/mkubwa katika masuala ya hiece toka Bunda town hadi huko kwenu na anatoza a competitive fare - wengine wanafanya shs.3,500 - 5,000 kwa kichwa yeye anafanya 1,500 nauli kwa kichwa.

Kwa ufupi, lawama nazipeleka kwa wabunge wote wa mkoa wa Mara, hawana mkakati wala solutions za matatizo ya wananchi wao, wote ni hovyo: kwa upande wa barabara mkoa hauna barabara ya lami hata moja ambayo imetokana na mkakati wa nchi ukilinganisha na mikoa mingine, hio barabara iliyopo ipo kwa sababu maalumu, kwa upande wa elimu ni jimbo la Musoma vijijini ndio lenye ahueni, ukija suala la uchumi haviendani kabisa na fursa za ziwa, ardhi, mbuga na madini vilivyopo, infact mkoa wa Mara haustahili kuwa na maendeleo iliyonayo sasa.
Kazi kwenu wah.watarajiwa ila mie pia nakuja - bado sijajua jimbo la kuchukua nasubiri kuoteshwa kwanza tutakutana mbele ya safari, hata kwa TLP ama ACT lazima Mara ikombolewe
 
Dogo, mbona mbunge wako ni mchapakazi tu japo mie si mwenyeji wa huko, lakini naona anawajibika ipasavyo kuibana serikali, hiyo barabara unayosema tayari tumensikia waziri wa ujenzi akizungumzia kuiweka lami, hebu maliza masomo kwanza, maana binafsi sijaona hata uwezo wako wa kujieleza ukiwa na ushawishi wowote ni kama vile unajaribu kufanya assignment ya darasani, kwasababu hata kuandika na kuwasilisha hoja yako kunawalakini nyingi, hebu tulizana bado unahitaji kumaliza masomo, Jimbo utalikuta, kumbuka wahenga walisema mshika mawili moja humponyoka,
 
Back
Top Bottom