Nitagombea ubunge Jimbo la Mwibara

Nitagombea ubunge Jimbo la Mwibara

MADINI CHUMA

Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
29
Reaction score
9
Wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita na nimwanafunzi wachuo kikuu, ninamalengo ya kugombea ubunge jimbo la Mwibara. Sababu Zakugombea ni 1. Tunashida ya barabara tangu uhuru mpaka kesho kitu ambacho kimekuwa nikero kwa wananchi waliowengi 2. Elimu inadolola kila uchao lakini hakuna jitihada zozote za kuiweka sawa 3. Watu wamechoka na utawala dharimu wa ccm kwani hauna tija kwa wananchi waliowengi 4. Hakuna miradi yoyote ya maendeleo kama kilimo cha umwagiliaji kwani jimbo la mwibara limekuwa kinara wa kuomba misaada ya chakula kila kukicha Kulingana nahayo niliyo yasema hapo juu, nimeona ni vyema kugombea nafasi hiyo kupitia cdm ili tuasaidiane na wananchi wa mwibara kujikomboa katika lindi kubwa la umaskini. Nawaomba wananxhi wenzangu wa mwibara tushirikiane kuyafanikisha haya.
 
Mkaruka nekilisha ouja ukubhona ikomesha
 
Utagombea kupitia chama gani?, Au chama kipya?

kwa hiyo mtakuwa watatu sasa? Muyenjwa, Kangi na wewe
 
Nitagombea kupitia cdm, hao wengine nikupitia ccm kwani bado hawajitambui.
 
pambana kamanda utapata tu kwani ccm imechokwa kila kona ndani ya tanzania
 
unayo haki hiyo , bali utachujwa kulingana na UKAMANDA wako ndani ya chama .
 
Wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita na nimwanafunzi wachuo kikuu, ninamalengo ya kugombea ubunge jimbo la Mwibara. Sababu Zakugombea ni 1. Tunashida ya barabara tangu uhuru mpaka kesho kitu ambacho kimekuwa nikero kwa wananchi waliowengi 2. Elimu inadolola kila uchao lakini hakuna jitihada zozote za kuiweka sawa 3. Watu wamechoka na utawala dharimu wa ccm kwani hauna tija kwa wananchi waliowengi 4. Hakuna miradi yoyote ya maendeleo kama kilimo cha umwagiliaji kwani jimbo la mwibara limekuwa kinara wa kuomba misaada ya chakula kila kukicha Kulingana nahayo niliyo yasema hapo juu, nimeona ni vyema kugombea nafasi hiyo kupitia cdm ili tuasaidiane na wananchi wa mwibara kujikomboa katika lindi kubwa la umaskini. Nawaomba wananxhi wenzangu wa mwibara tushirikiane kuyafanikisha haya.

Embu maliza shule, acha kiherehere. Utaweza kujenga barabara wewe????
 
weka kwanza picha nione kama uko serious!
 
Wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita na nimwanafunzi wachuo kikuu, ninamalengo ya kugombea ubunge jimbo la Mwibara. Sababu Zakugombea ni 1. Tunashida ya barabara tangu uhuru mpaka kesho kitu ambacho kimekuwa nikero kwa wananchi waliowengi 2. Elimu inadolola kila uchao lakini hakuna jitihada zozote za kuiweka sawa 3. Watu wamechoka na utawala dharimu wa ccm kwani hauna tija kwa wananchi waliowengi 4. Hakuna miradi yoyote ya maendeleo kama kilimo cha umwagiliaji kwani jimbo la mwibara limekuwa kinara wa kuomba misaada ya chakula kila kukicha Kulingana nahayo niliyo yasema hapo juu, nimeona ni vyema kugombea nafasi hiyo kupitia cdm ili tuasaidiane na wananchi wa mwibara kujikomboa katika lindi kubwa la umaskini. Nawaomba wananxhi wenzangu wa mwibara tushirikiane kuyafanikisha haya.

Rudi kwanza shule ujifunze kusoma na kuandika
 
Kangi lugola mbona jembe? au ni mbwembwe zake tu bungeni?
 
Back
Top Bottom