mkuu naomba walao dondoo za bei ya chumba huko kgambon,,chumba 50,000????labda uswahilini sanaa na sehemu kama hizo kutakua hamna mazingira mazuri ya kujisomea..kwa wale wa IFM Karibuni sana KIGAMBONI the city of IFM............
Ni pm kwa details zotemkuu naomba walao dondoo za bei ya chumba huko kgambon,,
vipi shida ya maji
Gharama zao zkoje nduguWahi hostel pale iliyokuwa Landmark hotel ubungo..ni sehemu nzuri sana.
kigamboni hamna shida ya maji....ni kama sehemu nyingine tuu umeme ukikatika labda ndo shida inakuwepo.....ila maji NI YA CHUMVI KIAsi kwa maeneo ya karibu na fery...bei inategemea na ukaribu wa chumba na ferry pia na hali ya rum..chumba cha kawaida kinaanzia 60,000 au ukitaka cha kawaida sanaaa 50,000 niPM kama unahitaji rum. na ni vizuri kuwahi kabla havijaanza kuwa adimumkuu naomba walao dondoo za bei ya chumba huko kgambon,,
vipi shida ya maji