Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Hata UDSM kwenye elimu ngumu watu hawafeli hivi.
Yani darasa la watu 120 wanafaulu chini ya hamsini!
Sasa mkinyima watu leseni dizaini hii, mnataka watu wakaendeshe nyungo ambazo hazihitaji leseni?
Kwenye picha inaonesha participants 85., ila walianza participants 120. Mchujo wa kwanza ukala vichwa. hawa walioingia final nao wameliwa vichwa kudadek!
Sasa mkianza kutoa mafunzo ya urubani atachomoka mtu kweli kama tu kwenye magari mnakula vichwa hivi!
Yani darasa la watu 120 wanafaulu chini ya hamsini!
Sasa mkinyima watu leseni dizaini hii, mnataka watu wakaendeshe nyungo ambazo hazihitaji leseni?
Kwenye picha inaonesha participants 85., ila walianza participants 120. Mchujo wa kwanza ukala vichwa. hawa walioingia final nao wameliwa vichwa kudadek!
Sasa mkianza kutoa mafunzo ya urubani atachomoka mtu kweli kama tu kwenye magari mnakula vichwa hivi!