SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Wakuu bado sijafanya maamuzi gari gani ninunue mpaka sasa ila nimekutana na Xtrail ya 2007....66000kms, 1990cc je spea na ulaji wa mafuta upoje? Bei 3000usd cif tra 6.9m tsh...mazagazaga mengine ni kama 1.5m= total 15m.