Nissan X-Trail Msaada Plz

Nissan X-Trail Msaada Plz

rushanju

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
3,327
Reaction score
5,594
Wakuu,gari yangu ni aina ya Nissan X-Trail 4wd Automatic Transmission. Baada yakufanya service, kumwaga Gear box Oil, gari limekuwa na shida sana katikakubadilisha gia hasa kutoka number 2 kwenda gera number tatu. Gear nyinginezinabadilika kama kawaida. Kwenye Oil deep stick imeandikwa ( USE ONLY NISSANIMATIC J). Naomba kwa mwenye kujua na uzoefu wakutosha anijulishe ni ipi inawezakufaa kama replacement. Hii waliotaka niweke hapa bongo hakuna nimejaribu sehemu nyingi bila mafanikio.
 
Wakuu,gari yangu ni aina ya Nissan X-Trail 4wd Automatic Transmission. Baada yakufanya service, kumwaga Gear box Oil, gari limekuwa na shida sana katikakubadilisha gia hasa kutoka number 2 kwenda gera number tatu. Gear nyinginezinabadilika kama kawaida. Kwenye Oil deep stick imeandikwa ( USE ONLY NISSANIMATIC J). Naomba kwa mwenye kujua na uzoefu wakutosha anijulishe ni ipi inawezakufaa kama replacement. Hii waliotaka niweke hapa bongo hakuna nimejaribu sehemu nyingi bila mafanikio.
Tafadhali nitafuteni kweli nissan X-trail kwa asiye jua naman ya kubadilisha transsmission oil ni lazima ataharibu kitu kinaitwa Gear selector baada ya hapo hauwezi kupata gear kwa urahisi kama mwanzo.Nipigie 0752 559 802.
 
Umeweka hydrolic gani kwa gear box yako?
Kibongo bongo at least mimi ninazoziamini ni ya BP(PUMA) 1 Litre inauzwa TZS 15,000/= na ya TOYOTA ipo kwenye Gallon la Debe lenye langi nyeusi na nyekundu na maandishi ya kiarabu ni 4 Litres inauzwa kwa TZS 60,000/.

Nashauri weka ya BP uangalie performance kwani ni multipurpose.
 
Back
Top Bottom