Make | Nissan |
Model | Teana |
Manufacturing Year | 2007 |
Engine Capacity | 2340 cc |
Fuel Type | Petrol |
Transmission | Automatic |
Color | Black |
Seat Capacity | 5 |
Steering | Right |
Forg Light | Yes |
Jack na Wheel Spanner | Yes |
Spare Tyre | Yes |
Radio/Bluetooth/CD | Yes |
Mkuu unauza bei gani hii chuma imesimama sanaNi kwa sababu nimeongeza usafiri mwingine Mkuu. Nimejikuta siwezi kuwa natumia yote kwa pamoja.
Hii sio ya kike😉?Mkuu unauza bei gani hii chuma imesimama sana
Wakuu naamini mpo salama,
Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK
DETAILS
Make Nissan Model Teana Manufacturing Year 2007 Engine Capacity 2340 cc Fuel Type Petrol Transmission Automatic Color Black Seat Capacity 5 Steering Right Forg Light Yes Jack na Wheel Spanner Yes Spare Tyre Yes Radio/Bluetooth/CD Yes
Napatikana Dar es Salaam.
Gari nauza kwa Tsh. Milioni 10.
Karibu tufanye biashara. Kwa mawasiliano, nitumie PM.
View attachment 2004724
Sina hamu na hizi gari za kuchukua mikononi mwa watu. Jana nimekoswa koswa kuingizwa mkengeWakuu naamini mpo salama,
Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK
DETAILS
Make Nissan Model Teana Manufacturing Year 2007 Engine Capacity 2340 cc Fuel Type Petrol Transmission Automatic Color Black Seat Capacity 5 Steering Right Forg Light Yes Jack na Wheel Spanner Yes Spare Tyre Yes Radio/Bluetooth/CD Yes
Napatikana Dar es Salaam. Gari nauza kwa Tsh. Milioni 10.
Karibu tufanye biashara. Kwa mawasiliano, nitumie PM.
View attachment 2004724
Ni kweli kuna watu wapo na magari ya namna hiyo na wanachukulia watu advantage.Sina hamu na hizi gari za kuchukua mikononi mwa watu. Jana nimekoswa koswa kuingizwa mkenge
Gari nzuri sana kumbe ilikuwa imekula mzinga mpaka rejeta nk hafai. Imepelekwa gereji imetoka mpya.
Aliyenishtua ni fundi. Baada ya kufuatilia ni kweli. Nilimpa elfu 30 kama asante.
Bora kuagiza, au ukishindwa zama shooruum kwa kuambatana na fundi mzoefu.
Umakini ni muhimu sana wadau.
Mleta uzi, sijasema gari yako ni kama dizaini hizo.
Post # 15 hapo juu anauza IST, nayeye vipi?Kwanini unaiuza mkiambiwa nunua toyota mnasema dunia Kijiji
Teana ugonjwa wa moyo.Wakuu naamini mpo salama,
Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK
DETAILS
Make Nissan Model Teana Manufacturing Year 2007 Engine Capacity 2340 cc Fuel Type Petrol Transmission Automatic Color Black Seat Capacity 5 Steering Right Forg Light Yes Jack na Wheel Spanner Yes Spare Tyre Yes Radio/Bluetooth/CD Yes
Napatikana Dar es Salaam.
Gari nauza kwa Tsh. Milioni 10.
Karibu tufanye biashara. Kwa mawasiliano, nitumie PM.
View attachment 2004724
I bet. Hutauza hiyo gariWakuu, hili gari bado lipo kwa anayelihitaji
Kwanini?Teana ugonjwa wa moyo.
Itakuwa imekula mzinga ila usinunue gari kwa mtu labda unaemjuaPost # 15 hapo juu anauza IST, nayeye vipi?