Nissan Primera inafaa kwa mizunguko ya dar?

Nissan Primera inafaa kwa mizunguko ya dar?

Mjasiriamali M

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
142
Reaction score
69
Habari za leo wakuu, jzna niliandika kuhusu kuhitaji gari ya bei nafuu. kuna wanajamii mbali mbali wamenitafuta kuhusiana na ombi langu. Naomba msaada wenu, kuhusu hii gari aina ya Nissan Primera, ina cc 1800. Itafaa kwa mizunguko ya mjini, vipi kuhusu ulaji mafuta na upatikanaji wa spairs? Na Mengineyo, natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom