KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,149
- 4,752
Nunua gari mkuuu acha uwoga ukijua matatizo ? Kesho utakuja tena na uzi mwingine nissan teana na subaru naomba matatizo mnachosha sana , HAKUNA Gari inayokuwa haina changamoto, kikubwa ukinjnua gari tenga muda soma manual book ya gari ... Na fata yale maagizo mtengenezaji kaelekeza itakusaidia gari kudumu