TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
mbona mnapenda sifa za kijinga???unabisha nini wakati mhsika anakwambia ni navara.kwanza ht baiskeli unayo wewe
mbona mnapenda sifa za kijinga???unabisha nini wakati mhsika anakwambia ni navara.kwanza ht baiskeli unayo wewe
Atakutukana huyo....ana matusi huyo.......balaaaa!!
anashindwa kutoa maelezo ya tofauti ya Nissan Navara na Hard body, tofauti ya production line na majina kati ya UK na SA.
mwache aendelee kutuona sisi mazuzu hatuwezi kununua hata baiskeli!!!
Nadhani nyie ni wapiga kelele tu,wenye kujua magari na wanaohitaji wameshatutufuta,nyie endeleeni kupiga mayowe apo .....nbvfgdfddg nyie!!