willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,084
- 1,330
Duuh alooo hii imezidi kubugia weseJamani nina nissan murano qr25de cc2500 2006 inakula sana wese iliwasha check engine shida ikawa airflow meter nikabadili ila tatizo bado liko palepale.
Ukiwasha gari ina nguvu vizuri tu haina miss yoyote inachanganya haraka shida ni wese tu ninapata 2.5 km/l mpaka 3.9km/l
Namfatilia kwa ukaribu sana pale mjini Instagram hatakama sina gari,,napata madiniKama upo DAR nenda huyu dogo anaitwa MOTECK-I
Kwa mafundi wa hapa TANZANIA huyu jamaa anajua Sana ishu za magari
Mkuu kama upo kwenye ndoto za kumiliki gari IPO siku MUNGU atajaalia Tu utapata .Namfatilia kwa ukaribu sana pale mjini Instagram hatakama sina gari,,napata madini
Hakika anayaelewa na kuyaelezea kwa undani na vizuri sana,, namimi na hobby zangu za kuchek review za magari naenjoy sana kumsikiliza.inshallah namimi siku nikijaaliwa nitashare experience ya ndinga hapa kama mnavofanya waungwana,.Mkuu kama upo kwenye ndoto za kumiliki gari IPO siku MUNGU atajaalia Tu utapata .
Huyu jamaa anajua Sana magari Kwa undani Sana sidhani kama kuna fundi hapa DAR anaweza kumfikia