Hwmbu tuma hizo lips PM nizione, unaweza ukabahatika nawewemiezi minne tu unanunua hadi kiwanja!!! Njoo kwangu mwayaa... Mie mwaminifu ila sio mzuri kiviiile.... Nna lipsi nzuri tu
Ujinga ni pale unaposkia mwanaume mwanzako anatumia pesa zakke halafu wewe unanunawe fallah wa kutupwa, sasa ushauriwe nini wakati tayari ushaharibu.
Mbona unasema kwa maisha haya??? Au unazani maisha yangu na yako ni sawa??? Acha kukaririHata Biblia imenena,
"Watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa"
We unajidai bingwa wa kupenda maisha haya unahonga M8 bila mahesabu then unakuja kutaka ushauri....any way maisha ni kujifunza tafuta dem mwingine umhonge M10 akukimbie ndo utajua kweli mapenzi sio hela tuu.
Nadhani kuna vitu vya kuomba ushauri ila ishu za mapenzi kila mtu apambane na uzoefu wake
Miez 4 umehudumia 8m za zimbabwe au,hii story mpe bashite atakuelewaMimi ni kijana wa kiume nna miaka 27, kuna msichana nmekutana nae miez minne iliopita, kiukweli ni mzuri sana pia ni mwanachuo hapa dar, kiukwel nmemuhudia sana ndani ya miezi hiyo minne
Nmemnunulia hadi kiwanja chanika, simu nzuri, pesa za matumizi nampa nyingi tuu nmemwambia boom lake awasaidie wazazi nyumban kwani aliniambia wako vibaya sana( maskini wa kutupwa)
Sasa juzi nmegundua kumbe pesa nnazompa ana kamwanamme kake nae anakahonga anasoma nako chuo
Gharama nlizomgharamia nimecalculate ni zaidi ya M8, nkimuulza analeta kiburi anadai kama vip tuachane!!
Je, nifanyaje?? Juzi washkaj zangu wamenishauri tuwateke wote tukawatese nnje ya mji ikiwezekana tumuue huyo jamaa
Mnanishauri nini???
Inauma sana
Kama unashindia uji usidhani kila mtu ni kama weweMiez 4 umehudumia 8m za zimbabwe au,hii story mpe bashite atakuelewa
Mpaka nahonga m8 nyumban wako njemaWajinga ndio waliwao, ukute ndg zako wananuka dhiki we unahonga mjini...
Kabisa chai haina sukari mkuuYaani ndani ya miezi mi4 umehonga m8? kwangu naona hii chai.
Kwa mtu mwenye uwezo wa kuhonga m8 hawezi kulalamika hivi...labda kama hauzipati kwa jasho lako unamwibia baba.
Kwa mwezi unahonga 2m kwa siku elfu 67. ??? Hujiulizi kwanini Heslb inawahonga 8500 kwa siku unafikiri board haina akili ???
Mimi ni kijana wa kiume nna miaka 27, kuna msichana nmekutana nae miez minne iliopita, kiukweli ni mzuri sana pia ni mwanachuo hapa dar, kiukwel nmemuhudia sana ndani ya miezi hiyo minne
Nmemnunulia hadi kiwanja chanika, simu nzuri, pesa za matumizi nampa nyingi tuu nmemwambia boom lake awasaidie wazazi nyumban kwani aliniambia wako vibaya sana( maskini wa kutupwa)
Sasa juzi nmegundua kumbe pesa nnazompa ana kamwanamme kake nae anakahonga anasoma nako chuo
Gharama nlizomgharamia nimecalculate ni zaidi ya M8, nkimuulza analeta kiburi anadai kama vip tuachane!!
Je, nifanyaje?? Juzi washkaj zangu wamenishauri tuwateke wote tukawatese nnje ya mji ikiwezekana tumuue huyo jamaa
Mnanishauri nini???
Inauma sana
PoaOle wako tuokote maiti kwenye kiroba fukweni! Utatueleza kinagaubaga nyau wewe!
Camera mbovuHwmbu tuma hizo lips PM nizione, unaweza ukabahatika nawewe