kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,077
- 1,728
- Thread starter
- #41
Kama pesa ipo tunahonga tuu, m4 si kama lak4 tuuHuna akili tena akuchune tu vzr!
Mna miezi 4 unamnunulia mtu kiwanja?.duh
Kama pesa ipo tunahonga tuu, m4 si kama lak4 tuuHuna akili tena akuchune tu vzr!
Mna miezi 4 unamnunulia mtu kiwanja?.duh
Ok sawa hata matusi sio mbaya, ukikua nawewe utaona dunia inaendajeWe ni mngese kabisa,ukaue mtu kwa umaku wako mwenyewe,mwanamke ameshakusaidia kukuambia HAKUTAKI,si uachanenae.
Halafu uandishi wako tu unaonyesha we mwenyewe unaliwa bado dogo sana,utaenda kuchezea NDUNGA segerea,maku we.
Hahahaha jirani zako ni kiboko anaona hatua 10 mbele jamaa aendelee kutafuta mbinu za utekaji kumbe anapotezaAnaenda naye taratibu... tena na wasiwasi huyu dada kama ni kweli atakuwa jirani yangu maana ndiyo wengi wanaakili ya kuanza na viwanja.
Ndio maana nkaj kuomba msaada, asante kwa ushauriUa uone kitakachofuata! Unacheza na damu ya mtu ww?
Na ht ukimuondoa huyo aliyenae atakua na mwingine tu,ss utaua wangapi?
Hahahahah jifunze kutoka kwa jamaa kizuri gawana na mpz wakoAiseeh naishiaga kwenye vimbalelo... labda mahari japo mahari sio kuhonga.
Ngoja nipite tu naweza kukutukana
demu wa chuo miezi minne meshamnunulia kiwanja?
we jamaa unantaftia ban
Anajipigisha story anayetaka kuua hatangaziUa uone kitakachofuata! Unacheza na damu ya mtu ww?
Na ht ukimuondoa huyo aliyenae atakua na mwingine tu,ss utaua wangapi?
Kawaida tuu, ni moja ya matumizi. . Sku ukishka hela nyingi utaelewa namaanisha nini
Hahahahahah wenye pesa hawatangazi hizo za mawazo sanaKama pesa ipo tunahonga tuu, m4 si kama lak4 tuu
Ni zamawazo ndio ndo maana nataka niuwe mtuHahahahahah wenye pesa hawatangazi hizo za mawazo sana
Kulipiza kisasi sio dawaNi zamawazo ndio ndo maana nataka niuwe mtu
Ok asanteKulipiza kisasi sio dawa
Kila la heri mkuu nakutakia mafanikio mema
Hahaaa nikishika hela nyingi?Kawaida tuu, ni moja ya matumizi. . Sku ukishka hela nyingi utaelewa namaanisha nini
Tukane upigwe ban
Uliyegemea jibu gani. Pengone wewe ndoye mwizi wake.Kwasababu nlimchek pia huyo jamaa akanijbu kunya sana
Sasa kama umeshka hela nying mbona kuskia tuu m8 kala demu unatokwa gasHahaaa nikishika hela nyingi?
Kwani unafikiri wanaocomment humu hatujashika hela nyingi?
Tumeshika ila hatufanyii ujinga!
Btw umekosea kuni quote,mie sijaongelea mambo ya kutukana chek vzr
Ntakapomtumia watu wasiojulikana tukimpeleka mabwepande ndio tutajua nani kamuibia mwenzieUliyegemea jibu gani. Pengone wewe ndoye mwizi wake.
Mapenzi siyo pesa jiongeze