Nishaurini kwenye hili, nataka nikate mawasiliano na marafiki zangu

Okay thanks kwa wote mlioacha shughuli zenu mka reply for advice. May allah bless you all
Since nmesoma sms zenu i admit nime elewa and nime learn vitu vingi kutoka kwenu.
Thanks and have a good day to everyone.
 
Okay thanks kwa wote mlioacha shughuli zenu mka reply for advice. May allah bless you all
Since nmesoma sms zenu i admit nime elewa and nime learn vitu vingi kutoka kwenu.
Thanks and have a good day to everyone.
Wachache hurudi kushukuru, big up
 
Pengine ngazi yako ya kielimu kwa namna moja ama nyingine inasababisha hilo kutokea. Kwa mfano; namna ulikuwa ukiwasiliana nao kabla ya kufikia ngazi ya juu ya kielimu wanaona ni tofauti wakilinganisha na baada ya kuendelea kielimu, lugha na namna unavyoongea nao na kadhalika
Mkuu hili ndio tatizo linalomsumbua huyu kijana.
Unajua wakati mwingine mtu unaweza kuwa na lifestyle fulani ambayo kwa wengine wanatafsiri kama una nyodo.
The way unavyovaa,unavyoongea,sehemu unazokaa inakuwa inawakarahisha wengine
 
Habari

Kama mnavyojua wasichana tunakuaga na marafiki wengi kipindi cha shule na sehemu nyingine mbali mbali. Kipindi niko o-level nlikua na marafiki ambao close kama wawili hivi sasa baada ya kumaliza form four wenzangu hawakuendelea na form six mmoja alitaka kuanza chuo na mwingine alikataa tu mwenyewe kuendelea na six kwa hiyo akaenda mwalimu Nyerere pale kuanza chuo diploma.

Sasa tangu niko A-level yani tulikua tunaongea vizuri mara kwa mara yani sanaaa sasa baada ya mimi kufika chuo (degree) mazoea kama yale ya zamani yamekata kabisa kila mtu kawa na mambo yake. Na huyo mmoja alikua Certificate pale TIA yaani ukimtext kukujibu mpaka kesho kutwa, mara atukane tukane katika maongezi.

Sasa mimi nataka nifanye maamuzi ya ku cut off mawasiliano na hawa marafiki zangu kwasababu yani mimi ndio kushoboka kila siku sio kama siwezi kuishi hila wao ..hapanaa yani ndo ile mazoea nmewazoea na sijaamini kama marafiki zako wa karibu wanaweza waka badilika.
As thread said nishaurini nlikua naomba mnishauri.
Ndg.
Ukiamua kuchukuwa hatua hiyo ya kukata marafiki... Basi elewa ndiyo mwanzo wako wa kutoboa kimaisha na ni wakati muwafaka wa kuna mafanikio yako ktk harakati uzifanyazo... Go Ahead .. waZungu wanasema :-
Bila marafiki ndiyo nimefika kilele hiki (high)!!
Good luck
 
Ukishajua upo mwenyewe muda mwingi kuliko unapokua na watu kama marafiki, hutakua hata siku moja uwaze kuhusu watu maana nao wana mambo yao mengi tu, Hivyo jipe nafasi ya kuwaacha wengine waende wanavyotaka maana labda wewe unawazibia mambo yao ambayo wewe huyajui.
 
Duuuh...wanawake bhna mnamambo kwa kweli,Mimi mbna ni rafiki na ndugu zangu tunaweza tukakaa ata mwezi no call na msg...na sku mmoja akikwama company ipo palepale...yaani full kusaidiana full kupeana mastory na michongo.
 
Habari

Kama mnavyojua wasichana tunakuaga na marafiki wengi kipindi cha shule na sehemu nyingine mbali mbali. Kipindi niko o-level nlikua na marafiki ambao close kama wawili hivi sasa baada ya kumaliza form four wenzangu hawakuendelea na form six mmoja alitaka kuanza chuo na mwingine alikataa tu mwenyewe kuendelea na six kwa hiyo akaenda mwalimu Nyerere pale kuanza chuo diploma.

Sasa tangu niko A-level yani tulikua tunaongea vizuri mara kwa mara yani sanaaa sasa baada ya mimi kufika chuo (degree) mazoea kama yale ya zamani yamekata kabisa kila mtu kawa na mambo yake. Na huyo mmoja alikua Certificate pale TIA yaani ukimtext kukujibu mpaka kesho kutwa, mara atukane tukane katika maongezi.

Sasa mimi nataka nifanye maamuzi ya ku cut off mawasiliano na hawa marafiki zangu kwasababu yani mimi ndio kushoboka kila siku sio kama siwezi kuishi hila wao ..hapanaa yani ndo ile mazoea nmewazoea na sijaamini kama marafiki zako wa karibu wanaweza waka badilika.
As thread said nishaurini nlikua naomba mnishauri.
we bikira au tayari?
 
Lakini wanasema ukiwa na marafiki wale wale kila siku hautafanikiwa. Is it true?
ndio muniraaaaa achana nao acha shobo ikiwezekana futa namba zao dili na ur things trust meeee co watu sahihi kwako ukiona hivyo


Sent from my Iᴩʜᴏɴᴇ 11 Pro using JamiiForums.com mobile app
 
Duuuh...wanawake bhna mnamambo kwa kweli,Mimi mbna ni rafiki na ndugu zangu tunaweza tukakaa ata mwezi no call na msg...na sku mmoja akikwama company ipo palepale...yaani full kusaidiana full kupeana mastory na michongo.
words men tupo hivi ila gals majungu na kusemana kikudaaa

Sent from my Iᴩʜᴏɴᴇ 11 Pro using JamiiForums.com mobile app
 
Baby girl acha stress Basi,
Hizo mambo za kushobokea marafiki ni dalili ya upweke.

Kama hutojali give me your time usahau stress hizi
 
Habari

Kama mnavyojua wasichana tunakuaga na marafiki wengi kipindi cha shule na sehemu nyingine mbali mbali. Kipindi niko o-level nlikua na marafiki ambao close kama wawili hivi sasa baada ya kumaliza form four wenzangu hawakuendelea na form six mmoja alitaka kuanza chuo na mwingine alikataa tu mwenyewe kuendelea na six kwa hiyo akaenda mwalimu Nyerere pale kuanza chuo diploma.

Sasa tangu niko A-level yani tulikua tunaongea vizuri mara kwa mara yani sanaaa sasa baada ya mimi kufika chuo (degree) mazoea kama yale ya zamani yamekata kabisa kila mtu kawa na mambo yake. Na huyo mmoja alikua Certificate pale TIA yaani ukimtext kukujibu mpaka kesho kutwa, mara atukane tukane katika maongezi

Sasa mimi nataka nifanye maamuzi ya ku cut off mawasiliano na hawa marafiki zangu kwasababu yani mimi ndio kushoboka kila siku sio kama siwezi kuishi hila wao ..hapanaa yani ndo ile mazoea nmewazoea na sijaamini kama marafiki zako wa karibu wanaweza waka badilika.
As thread said nishaurini nlikua naomba mnishauri.
Ushapata kazi? Au shemej anakuhudumia? Maana hizi hasira za kuomba kukata mawasiliano inaonekana una internal conflicts kwahyo inaweza kukufanya kuwa na hasira za karibu....cha kufanya IFUTE NAMBA YAKE tafuta kitabu au series ukitaka kuwakumbuka..unachek movie au unasoma kitabu..ila kama UNAKAZI BASI ONGEZA URAFIKI NA WATU WENGINE WA KAZIN .....UONGEZE KAMPANI..



#ukiona unaumia kutojibiwa haraka,ujue unahitaji kupendwa#
 
Habari

Kama mnavyojua wasichana tunakuaga na marafiki wengi kipindi cha shule na sehemu nyingine mbali mbali. Kipindi niko o-level nlikua na marafiki ambao close kama wawili hivi sasa baada ya kumaliza form four wenzangu hawakuendelea na form six mmoja alitaka kuanza chuo na mwingine alikataa tu mwenyewe kuendelea na six kwa hiyo akaenda mwalimu Nyerere pale kuanza chuo diploma.

Sasa tangu niko A-level yani tulikua tunaongea vizuri mara kwa mara yani sanaaa sasa baada ya mimi kufika chuo (degree) mazoea kama yale ya zamani yamekata kabisa kila mtu kawa na mambo yake. Na huyo mmoja alikua Certificate pale TIA yaani ukimtext kukujibu mpaka kesho kutwa, mara atukane tukane katika maongezi

Sasa mimi nataka nifanye maamuzi ya ku cut off mawasiliano na hawa marafiki zangu kwasababu yani mimi ndio kushoboka kila siku sio kama siwezi kuishi hila wao ..hapanaa yani ndo ile mazoea nmewazoea na sijaamini kama marafiki zako wa karibu wanaweza waka badilika.
As thread said nishaurini nlikua naomba mnishauri.
Usikate, usikate usikate mawasiliano.
Kama hao marafiki hawakudhuru usikate mawasiliano nao, marafiki Ni watu wa thamani Sana watakuja kukufaa huko mbele ya safari,
Mtu mnaweza msiwasiliane hata miaka 4 lakin akaja kuwa na msaada mkubwa kwako.
 
''We dont need friends nowdsys, we only need business partners''
 
Nakwambia kitu kimoja. Kwenye urafiki kuna kiongozi ambaye wengine wanamfuata. Yani wewe ulikuwa follower. Dawa ni ubadilike ili watu waku follow. Na ili waku follow lazima uache kuwa wa kawaida. Unaachaje kuwa wa kawaida hilo ni somo la mwezi mzima na huwa nachaji laki mbili kufundisha. Ila kwa leonakwambia vitu viwili tuu. Cha kwanza kuwa na malengo makuu kuhusu afya, uchumi, elimu na uhusiano. Cha pili anza kusoma vitabu kuhusu maeneo mbali mbali kama saikolojia na personal development. Walau kitabu kimoja kwa wiki. Tumia muda wa asubuhi sana unapoamka au jioni kabla ya kulala. Ikikusaidia usikose kuja hapa kunishukuru
Mmmmh mbona laki mbili
 
Back
Top Bottom