SPY-NOTORIOUS
Member
- Sep 25, 2012
- 45
- 13
3
Jitahidi upate bima ya afya itakuwa msaada kwako sana.Nimeuguza mgonjwa wa kansa bima ilitusaidia sana. Vipimo kwaajili ya matibabu ni vingi ukiwa na bima inagharamia vyote..Jamani mama yangu anasumbuliwa na tatizo la kansa ya ziwa tangu mwaka jana, amepata matibabu ya awali kwa kukatwa ziwa pale hindu mandal hospital dsm na baadae akapelekwa ocean road kwa malengo ya kuanza mionzi. Japokua zoezi hilo halikufanikiwa mpaka sasa hivi, hali yake sio nzuri kwakweli nawaombeni msaada wenu wa hali na mali ili niweze kufahamu naanzia wapi maana nashindwa hata cha kufanya ukizingatia mimi ndiye tegemeo lake
1. Je huduma hiyo ya mionzi hulipiwa pale ocean road au???
2. Nilihangaika walau nikapata bima ya afya nhif je itaweza kunisaidia
naombeni msaada wenu kimawazo walau nifunguke maana sielewi hata pa kuanzia na mama yangu bado anapata shida sana yaani amekua mtu wa kulala tu hata uwezo wa kutembea hana mpaka wakati huu
natanguliza shukurani kwa msaada wako,
kwanza pole
pili hujaeleza kwa nn zoez la mionzi lilishindikana
tatu maamuzi ya nn cha kumfanyia yanategemea na clinical and histological staging.
pole mkuuMionzi ilishindikana coz mashine ziliharibika, nashukuru mungu kwa sasa zimeanza kufanya kazi tena ila napenda kufahamu kama huduma hizo hulipiwa na endapo bima ya NHIF (blue kama sijakosea) huweza kusaidia.
Asante bibie kipenzi hujambo lakini MamndenyiPole sana, jitahidi sana uwahi hospitali,
Usikae naye nyumbani muwahishe tu hosp. MziziMkavu Assalamu Alaikum,
Heshima sana kwako mkuu.
Asante bibie kipenzi hujambo lakini Mamndenyi