Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,601
- 52,304
Theboss atakuwa ameamka vibaya leo,
siyo kawaida yake kuwa na hasira kama hii.
siyo kawaida yake kuwa na hasira kama hii.
Nakubaliana na wewe kuwa kukaa nyumba moja au karibu na mama mkwe ni janga kwenye ndoa nyingi
Lakini pia sikubaliani na wewe kumuita huyu mama mwehu just kwa kuamini maneno ya upande mmoja