kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Haya,
Wale wenye uzoefu nishaurini. Nimepambana kwa Mchina hapa, mwisho wa mwezi huu akinilipa mshahara ninataka kuvuta usafiri huu moja kwa moja kutoka JAPAN.
MAZDA Axela Sport ya mwaka 2004
Vipi kuhusu:
1. Uimara wa gari (durability)
2. Performance (engine perfomance vs. fuel consumption) ulaji wa mafuta
3. Matengenezo (repair) na upatkanaji wa spea
4. Alternative car (mbadala wa hii kama upo, nichukue ipi?)
Bajeti yangu Dollar za Trump 3800 tu, ama milioni 9.5 Tz
Kilambim'
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wenye uzoefu nishaurini. Nimepambana kwa Mchina hapa, mwisho wa mwezi huu akinilipa mshahara ninataka kuvuta usafiri huu moja kwa moja kutoka JAPAN.
MAZDA Axela Sport ya mwaka 2004
Vipi kuhusu:
1. Uimara wa gari (durability)
2. Performance (engine perfomance vs. fuel consumption) ulaji wa mafuta
3. Matengenezo (repair) na upatkanaji wa spea
4. Alternative car (mbadala wa hii kama upo, nichukue ipi?)
Bajeti yangu Dollar za Trump 3800 tu, ama milioni 9.5 Tz
Kilambim'
Sent using Jamii Forums mobile app