M2 kanitambulisha kwa dem ambaye tayari nilishapita naye, nimwambie au nimute
ulipita ukiwa unaelekea wapi?
M2 kanitambulisha kwa dem ambaye tayari nilishapita naye, nimwambie au nimute
ah!kausha bhana kwan nini?kila jambo na wakati wake uliitwa bebi sasa wakati wa kuitwa shemeji.
mbona hata mimi nimepita kwa huyo uliyenaye