CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,827
- 1,858
ah!kausha bhana kwan nini?kila jambo na wakati wake uliitwa bebi sasa wakati wa kuitwa shemeji.
ebu mpashe bibie asilete utoto hapa
ah!kausha bhana kwan nini?kila jambo na wakati wake uliitwa bebi sasa wakati wa kuitwa shemeji.
ulipita ukiwa unaelekea wapi?
Nashukuru Kwa Ushauri, Nilikula Buyu Na Ilinilazim Nihame Meza Ili Wawe Huru, Ila Jamaa Alikuwa Na Waswas Hadi Akaniuliza Kulikoni Nihame Meza? Full Story Nitawapen Nikiwasha Pc
Aaaa kwani uliweka alama??
embu nkuulize dhumuni la kumwambia ni nini???