ngivingivi
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 189
- 107
Shida ya Watanzania ni kutaka kuwa sawa na mtoto wa Kigogo. Huo usawa haupo dunianiHapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
Hapo mwanzo niliona kuwa uongozi wa JKT umefanya jambo la busara ila badae nimekaa nikafikiria nikaona nimekosea.
Naombeni mnisamehe....hawa vijana wanaditahili kusamehewa.
Haiwezekani wapambane miaka mpaka 4 halafu linapokuja suala la ajira...wanapachikwa watoto wa vigogo jeshini. This is unfair, this is not right...
Nimeumia sana baada ya kusimuliwa na kijana mmoja aliyeshiriki kuandamana.
Yaani mtu ajapiga kozi hajalala nje, hajashiriki ujenzi wowote anafikia ajira. This is unfair....
Mama Samia tunakipima katika hili....hawa vijana wasamehewe na waajiriwe haraka!
😀😀wengi tulienda kwa lengo la kupatia ajira h
Jiwe naye alikuwaga anakurupuka kama hana akili! Alimsikia nani anataka kuajiri watu wengi hivyo? Na tangu lini jkt ikawa sehemu ya kuajiri watu! Hicho kitu hakipo, serikali ilisitisha mambo ya ajira sehemu zote! Ila bahati nzuri kwao wamepata ujuzi wa ufundi waende wakautumie vizuri hiyo ni ajira tosha kabisa!Hao waliahidiwa ajira na JPM na JPM anajua kwamba ajira za jeshi/ulinzi ni idadi gani na ndio maana akasema waajiriwe moja kwa moja ,alivyofariki ndio hao WABABE wakatumia loophole kuwapiga chini waajiri ndugu zao na wapige pesa za connections za wengine.
Nyie ndio mmepachika vifaranga wenuJKT sio sehemu ya ajira
Mjomba kilichowapata ni siri yao.Sisi wa itende kilimo kwanza tuliotembeza mkong'oto mwanjelwa tusamehewe 🤣🤣🤣
Itoshe kusema hao vijana hawakula doso la uhakika, kugoma ni ujinga tena ni jinai kijeshi wajinga kabisa hao