KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wakuu habari za mida,naombeni kusaidiwa nini maana ya Wi Fi na inafanya kazi gani ktk simu plogram hiyo ninayo katika simu yangu ya Samsung Gallaxy 5830i ila sijajua matumizi yake.
Wakuu habari za mida,naombeni kusaidiwa nini maana ya Wi Fi na inafanya kazi gani ktk simu plogram hiyo ninayo katika simu yangu ya Samsung Gallaxy 5830i ila sijajua matumizi yake.
manake wifi
manake wifi
Wifi inapatikana wapi hapa nchini?
WiFi inapatikana vyuoni, mahoteli makubwa, maofisini,
kwenye vyuo wameweka wifi kwa ajili ya wanafunzi wao, kwenye mahotel makubwa wameweka wifi kwa ajili ya wageni wao ambao wengi labda ni watalii , pia wifi ipo kwenye baadhi ya ofisi za serikali na binafsi...
inamana ukiwa na Wifi una surf net bure?
Ndio maana yake!! Pia ukitaka kuepusha msongamano unaweza kununua Wi Fi access point ya kwako ukajinafasi. Yaani hadi 50,000 unapata!
Ndio maana yake!! Pia ukitaka kuepusha msongamano unaweza kununua Wi Fi access point ya kwako ukajinafasi. Yaani hadi 50,000 unapata!
inamana ukiwa na Wifi una surf net bure?