12 Marook
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 441
- 329
Naam Habari za saa izi wana JF
Mi mwenenu baada ya kuaca u domo zege na kusaliti chama changu cha miaka mingi, nikamdondokea binti mmoja ivi ambae nlikuwa nampenda kabla ata sijatoka chaputa ila tatizo mtoto akaingiza gear yaku ni chuna zaidi ata ya buzi, kunila zaidi ata vile mchwa unavo kula mti, nilipoona nashindwa nikamwaga live channel five cha ajabu nashindwa kumsahau nakuwa tu wakujiliwaza na pombe yaani zaidi ya pierre wa liquid
Msaada wenu jamani nauwaitia na nau needia wa kuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenenu baada ya kuaca u domo zege na kusaliti chama changu cha miaka mingi, nikamdondokea binti mmoja ivi ambae nlikuwa nampenda kabla ata sijatoka chaputa ila tatizo mtoto akaingiza gear yaku ni chuna zaidi ata ya buzi, kunila zaidi ata vile mchwa unavo kula mti, nilipoona nashindwa nikamwaga live channel five cha ajabu nashindwa kumsahau nakuwa tu wakujiliwaza na pombe yaani zaidi ya pierre wa liquid
Msaada wenu jamani nauwaitia na nau needia wa kuu
Sent using Jamii Forums mobile app