cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 788
kama mume ana jambo lazima amweleze mkewe kwa hiyo kama ni mtu hataki kupokea cm yake lazima atakua ameshasema kwa sababu mume au mke ni zaidi ya rafiki
kinadharia, yes, but in the real world, not necessarily....