Naitwa C.
Elimu ni shahada
kazi ni mwl.
matatizo yangu ni kutoelewana na watu,kufanya jambo mwishoni halikamiliki mfano unaanzisha biashara ni lazima baada ya mda fulani utapata hasara!
KISA KIZIMA NI
Mi ni mtoto wa kwanza kwa sasa baada ya marehem kaka yangu kufariki.
Tangu kidato cha pili maisha yangu yalibadilika sana kutoka kwenye furaha na kuwa mtu wa matatizo na misukosuko ya kila aina,
tangu kipindi hcho nikawa mtu wa kuchukiwa na kila binadamu mpaka ndugu na wazazi wangu licha ya kujitahidi kuwa karibu nao.
huwezi amini ndugu leo hii wafanya kazi wezangu, waliokuwa rafiki zangu ndugu zangu,watumishi wa Mungu ninamoabudia majirani wote hawanipendi bila hata sababu licha ya mimi kujinyenyekeza kwao.
kwa ujumla ni visa vingi ambavyo vinasibu maisha yangu vikiongozwa na kuchukiwa na watu. nitazidi kueleza kutegemea utakachotaka kufahamishwa juu ya magumu megi ninayopitia.
ombi kwako nisaidie kimawazo kuwa nifanye nini maana sipendi na nimeshachoka kukosana na watu.
MUNGU AKUTAGULIE ILI USHAURI WAKO UNIOKOE.
Elimu ni shahada
kazi ni mwl.
matatizo yangu ni kutoelewana na watu,kufanya jambo mwishoni halikamiliki mfano unaanzisha biashara ni lazima baada ya mda fulani utapata hasara!
KISA KIZIMA NI
Mi ni mtoto wa kwanza kwa sasa baada ya marehem kaka yangu kufariki.
Tangu kidato cha pili maisha yangu yalibadilika sana kutoka kwenye furaha na kuwa mtu wa matatizo na misukosuko ya kila aina,
tangu kipindi hcho nikawa mtu wa kuchukiwa na kila binadamu mpaka ndugu na wazazi wangu licha ya kujitahidi kuwa karibu nao.
huwezi amini ndugu leo hii wafanya kazi wezangu, waliokuwa rafiki zangu ndugu zangu,watumishi wa Mungu ninamoabudia majirani wote hawanipendi bila hata sababu licha ya mimi kujinyenyekeza kwao.
kwa ujumla ni visa vingi ambavyo vinasibu maisha yangu vikiongozwa na kuchukiwa na watu. nitazidi kueleza kutegemea utakachotaka kufahamishwa juu ya magumu megi ninayopitia.
ombi kwako nisaidie kimawazo kuwa nifanye nini maana sipendi na nimeshachoka kukosana na watu.
MUNGU AKUTAGULIE ILI USHAURI WAKO UNIOKOE.