Nisaidieni kwenye hizi Sms nimjibu nini..

Hahahahha ndio maana umri ulipofika nilioa kbs kwa ajili ya kuepuka upuuzi huu,hapo unaibiwa mkuu tafuta mwanamke wa maana uoe ufanye maendeleo.
 
Mwambia na wewe bahati mbaya alipokujibu tu uka-misplace atm card yako hivyo utamtafuta ukiipata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…