The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,063 115,461 May 28, 2014 #8 TATIANA said: Kakope Kama huna Click to expand... Na Wewe umeme umekatika?
TATIANA JF-Expert Member Dec 8, 2010 4,627 2,271 May 28, 2014 #9 The Boss said: Na Wewe umeme umekatika? Click to expand... Hahaahaa...we siunajua techniques zangu...wala siombi unatoa mwenyewe....
The Boss said: Na Wewe umeme umekatika? Click to expand... Hahaahaa...we siunajua techniques zangu...wala siombi unatoa mwenyewe....
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 46,984 39,778 May 28, 2014 #11 Zoom basi nisome kwenye kisimu changu
D De78 Member Apr 2, 2013 69 10 May 28, 2014 #12 NAPITA said: View attachment 161137 Click to expand... Akifika mwambie unasubiri mshkaji atakutumia kwenye M-pesa.
NAPITA said: View attachment 161137 Click to expand... Akifika mwambie unasubiri mshkaji atakutumia kwenye M-pesa.
Nokia83 JF-Expert Member Jan 16, 2014 24,653 44,223 May 28, 2014 #13 Hahahahha ndio maana umri ulipofika nilioa kbs kwa ajili ya kuepuka upuuzi huu,hapo unaibiwa mkuu tafuta mwanamke wa maana uoe ufanye maendeleo.
Hahahahha ndio maana umri ulipofika nilioa kbs kwa ajili ya kuepuka upuuzi huu,hapo unaibiwa mkuu tafuta mwanamke wa maana uoe ufanye maendeleo.
HorsePower JF-Expert Member Aug 22, 2008 3,612 2,565 May 28, 2014 #16 Mwambia na wewe bahati mbaya alipokujibu tu uka-misplace atm card yako hivyo utamtafuta ukiipata!
NAPITA JF-Expert Member Apr 2, 2012 5,076 2,243 May 29, 2014 Thread starter #17 HorsePower said: Mwambia na wewe bahati mbaya alipokujibu tu uka-misplace atm card yako hivyo utamtafuta ukiipata! Click to expand... Hii safi sana!!
HorsePower said: Mwambia na wewe bahati mbaya alipokujibu tu uka-misplace atm card yako hivyo utamtafuta ukiipata! Click to expand... Hii safi sana!!