nisaidieni kuhusu tume ya ajira

nisaidieni kuhusu tume ya ajira

spirrowiver

Member
Joined
Aug 2, 2014
Posts
13
Reaction score
0
kwa mfano kuna nafasi kama 4 alafu ---- mikoa kama mitatu.je unaruhusu kumark kwenye envolop ni mkoa gani unataka??au una mark tu lile jina la taasisi husika.
msada tafadhati
 
kuna kitu kingine tena wamesema kwenye application letter inatakiwa uonyeshe jila la taasisi.je ile anuani ya mwajiri unaandika ile ya tume ya ajira au ya taasisi inayoitaji wafanyaki
 
nimeamini kwel watu kushindwa kupita kwnye interview tunashindwa kwa mengi despite the fact kwamba mtu unaweA kua na ujuzi na elimu inayotakiwa!
jaman mbona maelezo hua yako wazi kabisa kwenye kila tangazo la kazi normaly zile page 2 za mwanzo! tujarib bas kupoteza muda wetu kusoma yale maelekezo ya awali
 
kuna kitu kingine tena wamesema kwenye application letter inatakiwa uonyeshe jila la taasisi.je ile anuani ya mwajiri unaandika ile ya tume ya ajira au ya taasisi inayoitaji wafanyaki

mkuu adress unaandika hyo ya katibu wa sekretariat.
juu ya bahasha weka tu jina la taasisi na kazi unayoomba basi.mkoa maybe taja ndani ya maombi.
 
the tilte of position and institution applied for should be written in the subject of application letter.
je kwa mfano inatakiwa kuandika iv
seecretary,
PSRS alaf
application of office attendant at TBS
au kunatofauti wakuu.tusaidiane
 
Andika tu jina la taasisi wao watakupangia wapi uende ukifuzu
 
kuna kitu kingine tena wamesema kwenye application letter inatakiwa uonyeshe jila la taasisi.je ile anuani ya mwajiri unaandika ile ya tume ya ajira au ya taasisi inayoitaji wafanyaki

Duu! nina wasiwasi sana na uelewa wako!sasa wewe kwenye matangazo ya sekretariat ulishawahi kuona address ya taasisi wanazozitangazia kazi zaidi ya address ya sekkretariat? na je wanaposema uandike on the top of the envelope nafasi unayoomba na taasisi iliyotangaza nafasi hiyo we unadhani lengo la kuandika juu ya bahasha huwa ni nini haswa?kama sio kurahisisha kuchambua zile bahasha katika makundi na kujua nani kaomba nini na taasisi gani ili wanapo shortlist walinganishe sifa zako na za wengine walioomba nafasi ambayo na wewe umeomba.

Jamani job seekers tujitahidi kuwa waelewa hasa katika vitu vidogo vidogo kama hivi mana unaweza ukawa unakosa ajira daily kwa uzembe na kushindwa kuwa mwelewa kwa vitu vidogo kama hivi,matokeo yake kabla hata hujaitwa interview unaonekana tayari kuanzia kwenye bahasha yako ya application kabla hata haijafunguliwa umeshafeli hivyo hawaoni hata haja ya kukuita hata kwenye hiyo written interview!

Kwa mwendo huu tubadilike tutawalaumu sekretariat bure!
 
the tilte of position and institution applied for should be written in the subject of application letter.
je kwa mfano inatakiwa kuandika iv
seecretary,
PSRS alaf
application of office attendant at TBS
au kunatofauti wakuu.tusaidiane

Una elimu gani mkuu?Umesoma wapi?mana unazidi kunimaliza pozi nashindwa kupata picha barua zako za application
huwa unaandikaje au huwa zinafananaje?sasa kwa kukusaidia kwa faida yako watafute hata watu watatu ambao unadhani huwa wana apply kazi sekretariat watafute kwa nyakati tofauti tofauti wakuelekeze namna ya kuandika barua za application za kazi kwa ujumla na zikiwemo hizo za sekretariat,kama ukishindwa weka e-mail yako hewani mi ntakutumia mfano wa barua za sekretariat unavyotakiwa kuziandika.
 
kuna kitu kingine tena wamesema kwenye application letter inatakiwa uonyeshe jila la taasisi.je ile anuani ya mwajiri unaandika ile ya tume ya ajira au ya taasisi inayoitaji wafanyaki

anuani unaandka ya tume ya ajira lakin kwenye title pale unaandka mfano:Yah: maombi ya kazi ya udereva katika chuo cha usimamizi wa fedha(ifm)
 
Back
Top Bottom