Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Kuna Bidada nimehangaika naye kwa takribani mwaka mmoja sasa. Usishangae kwanini mwaka Mmoja ni kwa sababu imefika bei na mrembo wa haja.Juzi kati amenichanganya kidogo kwa maswali aliyokuwa ananiuliza na hasa baada ya angalau kuanza kunipa yellow & green light at de same time. Mazungumzo kwa simu yalikuwa hivi:Swali: Hivi umeshawahi kulamba na kunyonya mlango wa uani?Jibu: Hapana.Swali: Umeshawahi kupata demu anayegawa tiGO.Jibu: hapana Swali: Kwanini vyote hujafanyaJibu: Am too selective on love affairs. Sikurupuki tuu kwa sababu demu ananivutia bali nina vigezo vyangu ambavyo wewe unatimiza kwa kiasi kikubwa.KINACHONISUMBUA: Katika maongezi yetu huwa ananieleza kuwa hawapendi mademu wanaogawa tiGO na kunitajia baadhi ya wafanyakazi wenzie wanaoliwa tiGO sasa leo ananihoji maswali haya. Je! yeye mwenyewe analiwa tiGO? Je ananiona mimi naelekea kupenda tiGO? Tafadhali nisaidieni kunitatulia hili kwa kunipa "hints" za kuweza kubaini lengo la maswali yake angalau kwa kukisia tu kwani najua yeye ndie aliyestahili kuniambia hayo.