careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Unataka kupendwa na wewe du makubwaNjoo kwangu, hata mimi nimaajiriwa
Na tunakaa mji mmoja
Pm ipo wazi kabisa karibu
Jibebe CareenMie ni mwanamke nimempenda mwanaume wangu kupita kias..hata sijui nimempendea nini...
Hili Jambo linaniathiri sana kwasabu najua yeye hanipend km ninavyompenda?
Huwa nabishana na mawazo yangu wakati mwingine kwa kuona kwamba ananipenda saana Ila haniamini kwasababu anakauli yake kila siku anasema mimi Nina mambo mengi bila kufafanua Zaid huu umekua Kama wimbo sasa masikioni mwangu....Sasa nakua sielew Mambo mengi ni yap? Nachojua tu Ana wivu saaana...
Sikai naye yeye anakaa kwake..na ameajiriwa serikalini na Mimi nakaa kwangu na nimejiajir Ila tupo mji mmoja..
Nimeshajaribu Sana kumuacha nimeshindwa bas angalau nipunguze tu...
Nimefungua jina jipya kwasababu maalumu...
Kweli kabisa.Mngekaa pamoja kama mwezi hivi
Ungepata jibu..
Unaweza fikiri unampenda sana mtu but jaribu kuishi nae uone.. ukitoka hurudi..
Ningepata hiyo nafasi ningefurahi kabisaMngekaa pamoja kama mwezi hivi
Ungepata jibu..
Unaweza fikiri unampenda sana mtu but jaribu kuishi nae uone.. ukitoka hurudi..
Nilimpenda kabla hajanigegeda lakinatakua anakugegeda vzr ndo maana huna maamuzi juu yake
Haaaahaaa ndo hivoUkiwa na lile jina lingine huwa unajifanya mwamba kwelikweli kumbe wewe ni laini sana!
Nashindwa kujicontrol kabisa aseeUkiona umempenda hivo jiandae kuumizwa mwanamke anapaswa kupendwa na sio kupenda
Iakin ukweli mi Sina mambo mengi kabisa ananisingizia tuSasa kama una mambo mengi si lazima mtu awe na wivu tu. Imagine unamiliki demu kwa Wolper halafu anashangaa kwanini unakuwa na wivu nae
Mwisho wake ataniacha na Mimi sitaki kuachana nayejikite zaidi na maisha yako, kua bize na mambo yako ya msingi,punguza kumtafuta inshort punguza mawasiliano naye na akikutafta akuulize mbona humtaft mwambie upo tight utamcheki kata sim endelea na mambo yako na usimcheki wala yan fanya kama vile hayupo hapa duniani na una mambo mengi ya kufanya
sawa bt gegedo zuri humfanya ke akose maamuz kabisaNilimpenda kabla hajanigegeda lakin