Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
- Thread starter
- #21
Mojakwamoja
Mojakwamoja
Kufungua kampuni ni kama ndoa. Ni rahisi kufungua kampuni ni kama kuomba mkopo benki kama unakopesheka. Vita hipo wakati wa kuifunga utapigiwa mahesabu ya kodi mpaka ulowe jashoWaone wataalamu waliokusaidia kufungua si unajua aliyechomeka ndiye wa kuchomoa?
Mambo zenu,
Nataka kufunga kampuni baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa biashara, anayejua process anipe fasta. Haina deni na documents zote ziko okay. Naanzia wapi na naishia wapi?
Karibuni