nisaidieni jamani

nisaidieni jamani

kiwawira

Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
10
Reaction score
2
mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule mwanamke hataki anasema amepata mume mwingine mimi hanitaki tena na tumefunga naye ndoa ya kikanisa na shahada tunayo.wanajf naombeni ushauri wenu kwani nampenda mke wangu nataka kurudiana naye.
 
km ulimpenda asingekukuta na mwanamke ndani

kubali umechemsha ila endelea na huyo huyo aliyekukuta naye kwa sababu am sure na yeye alikuwa na mtu wa kumpooza huko alipo ndio maana anan'gang'ania muachne kapata mume,nyie wote wahuni mmelibugi acheni mlinywe LIWALO NA LIWE LOLS
 
Bayakh bateki lipapa ya wala!
Bbayaki batasuki, batasuki ya soda,
Ya soda ya kopo na keki ya uchwara-
Mamaa nzawisa, nzawisa, nzawisaaaaaaaaaaaaaaa, yeyooo!
 
Mlikutana.....wote mlikuwa mnaishi kisungura sungura.Sasa alikuwa anataka uhalali wakujitanua na bwana ake,kwa kifupi huyo bibie alikuwa na mtu huko dar
 
mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule mwanamke hataki anasema amepata mume mwingine mimi hanitaki tena na tumefunga naye ndoa ya kikanisa na shahada tunayo.wanajf naombeni ushauri wenu kwani nampenda mke wangu nataka kurudiana naye.

ndugu yangu pole kwa yaliyokukuta ila naona kama hata wewe ni kicheche sana, inakuwaje unaanza kuishi na mtu ndani ya chumba mnachoishi wewe na mkeo? si ungekuwa unafanyia matusi yako huko unarudi nyumbani. umedhalilisha sana mkeo ndo maana hataki kurudi au yaweza kuwa sababu ya kukwambia kuwa kapata mume, hujatumia busara hata siku moja.
 
mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule mwanamke hataki anasema amepata mume mwingine mimi hanitaki tena na tumefunga naye ndoa ya kikanisa na shahada tunayo.wanajf naombeni ushauri wenu kwani nampenda mke wangu nataka kurudiana naye.

Upuuzi
 
mm ndio ninae dar na ninampa vitu vya ukweli akusahau kabisa,
unachezea watoto wa mjini
 
. Ungempenda ungeingiza mwanamke ndani? Ukosefu wa adabu kwa hali ya juu

Heri mkeo a-move on tu.....
 
Yaani we wataka ule tu lakini vyako visiliwe...
 
Pole sana ndungu...nyie mnaomrushia mawe huyu bwana,nani msafi kati yenu..nani hajawai kucheat akiwa mbali na familia yake..acheni kupretend bana,..ila na wewe ndungu umekosea how comes unaishi na kimada wakati unamke wa ndoa? By the way hata huyo mkeo anakipozeo huko Dar thats why imekuwa rahisi kukutambia eti ameshapata bwana mwingine..wote vicheche tu.
 
Ndio maana nachukia suprise! Mkeo alitoka dar had manyara bila kukutaarifu hadi akakukuta na huyo kimada ndani?
 
Muache kwanza apoozwe machungu na mwanaume mwenzio. Muachie mwezi hivi halafu ukienda ukakuta dume lenzio ndani mnafanya kesi ya kusameheana.
 
usijali huyo nae anae uko dar cha muhimu mwambie tu kama yy ni msafi sana asikusamehe. utashangaa atakwambia nimekusamehe mpenzi......believe me or not
 
mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake sasa yy kuja manyara kanikuta naishi na mwanamke akaondoka nimemuomba msamaha kuwa nimemuacha yule mwanamke hataki anasema amepata mume mwingine mimi hanitaki tena na tumefunga naye ndoa ya kikanisa na shahada tunayo.wanajf naombeni ushauri wenu kwani nampenda mke wangu nataka kurudiana naye.
hpo kwenye shahada unamaanisha DEGREE YA KWANZA?
 
Back
Top Bottom