Nisaidieni jamani

mmmmmmmhhhhhhhh! yan wiiik tu wa unazani atakuamini vp???????? was sooo fast aseeee. duh! kiukwel unachekeshaaa ni haki yake huyo dada akutoseee mzeeee. it was lyk kutamani na si kupendaaaaaa. wiiiik? humjui hakujui et kupendaaaaa? wat if ni mzukaaaa??? be careful
 

Wewe ulitamani na wala hukupenda. dah na speed zako.. na wasiwasi hata kwenye 6*6 huwa unapalamia tu hufuati steps...Jifunze upya kaka.
 

sasa nifanyaje ndiyo ishatokea hivyo
 

wewe ulitaka ningoje mwaka mzima alafu nikitongoza niambiwe umechelewa kuna mwenzako Tayari
 
Wewe ulitamani na wala hukupenda. dah na speed zako.. na wasiwasi hata kwenye 6*6 huwa unapalamia tu hufuati steps...Jifunze upya kaka.

dogo anausongooo. m mpe maujafanjaaaaaa coz yaelekaaa anataman aswaaaaaa
 
wewe ulitaka ningoje mwaka mzima alafu nikitongoza niambiwe umechelewa kuna mwenzako Tayari

dogooooo umewahi sanaaaa. gals r nt lyk dat aseeee. m mchek mfikiri akupe maujafanjaaaaaa. vitu ngaz kwa ngaz sa we umechana msamba unazani utapata kwelllllllll????
 
kwa nini unasema hivyo

huyu kabugi kwa sababu approach yake haina ile wooing a woman, its not romantic, it doesnt titilate the woman simply put it doesnt instill curiosity in the woman. na hiyo ndio important element katika kumteka demu
 

Mkuu kweli umenena jana niliongea naye huyo mrembo wa Dar eti sasa ndiyo ananiambia nina mtu wangu wakati mwanzo alisema yuko single .
 
Last edited by a moderator:
huyu kabugi kwa sababu approach yake haina ile wooing a woman, its not romantic, it doesnt titilate the woman simply put it doesnt instill curiosity in the woman. na hiyo ndio important element katika kumteka demu

Ndo maana nkasema huyu dogo ana mapenzi ya movie (ushawahi ona ile movie ya, 'When in Rome'?)...

Mkuu kweli umenena jana niliongea naye huyo mrembo wa Dar eti sasa ndiyo ananiambia nina mtu wangu wakati mwanzo alisema yuko single .

Ameona we bado mshamba, take it as a lesson and move on!
 
Ktk maongezi yake alikuambia anajiuza? Maana stail uloingia nayo kwake ni kama unamwendea kahaba. Next tym acha papara, jifunze kusubiri
 
Ktk maongezi yake alikuambia anajiuza? Maana stail uloingia nayo kwake ni kama unamwendea kahaba. Next tym acha papara, jifunze kusubiri

Ngoja niendelee zangu kunywa Viroba mademu wapo wengi tu
 
maneno cyazimii ,vitendo hunitega mimi

hapa kwenye kuonesha vitendo ndo huwa napataga tabu,maana kuna mabinti wengine hawataki hata ivo vitendo vyako,kwa mfano utakuta mwengine ukimpelekea zawadi anakataa,ukitaka kumtoa out anajifanya yuko bize na wakati mwengine hata simu hapokei wala meseji hajibu na unafanya haya yote kuonesha ni kiasi gani unamjali na kumkumbuka kila siku but yeye hata habari nayo hana kabisaaaaa!au wakuu nyie mnakusudia vitendo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…