Mwenzangu!mh huyo naona anaomba ushauri japo yaonyesha amefanya maamuz
Mwenzangu!
Ila mie nadan akiamua kukomaa anatafanikiwa tu,
Kwan hata km huyo mama ni kauzu kiasi gani ataona aibu na kuamua kupiga kimpya!
ukishalala naye usitegemee malipo yako yaliyobakia!
huwezi kushinda majaribu kirahisi hivyo bila msaada wa ziada, kama wewe si mcha mungu huwezi kushinda majaribu.... wewe endelea kupata misaada tu... keshakulipia huyo mlipe na yeye...
Ufanye ambalo halita haribu Kipato chako unacho kitegemea na umshauri tu atafute mtu wa kua nae kama huo ni utaratibu wake
Maana unaweza poteza Fedha na Afya yako ambalo ni TEGEMEO KUBWA KWA UFANISI WAKO KWAKO NA FAMILIA YAKO