MFIZIGO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 374
- 232
Haya sawa piga mahesabu na hiyo Miqt yako uone inakujaje!Ndugu,hilo linawezekana,siku hizi elimu ya miaka 4 kidato cha kwanza mpaka cha nne mtu makini anasoma kwa miaka miwili tu na anapiga paper ya form four na anapata credit hivyo anaendelea na Alevel ambayo nayo badala ya miaka miwili anapiga kwa mwaka mmoja anafanya paper ya form six anaingia Chuo!!!nina mifano ya ndugu zangu watatu ambao niliwatoa kijijini baada ya kushindwa kusomeshwa na ndugu huko kijijini nikawaleta Dar nikawaunga QT.Hivi ninavyokwambia mmoja ka-graduate degree ya kwanza UD 2015,hao wawili ndio wameingia mwaka wa tatu November mwaka jana,mmoja yupo UD na mmoja yupo UDOM!!Hivyo acha kukariri kwamba elimu ya sekondari ni miaka 6 kama tulivyosoma sisi,siku hizi mtu serious anatumia three years badala ya six years.