Rudi home... Click pale kwenye provision....Habari zenu
Nilikuwa najaribu kuingia tcu kuchek kama Niko selected imeniletea hivyo na nimeingiza form 4 index na e-mail pia majibu ni hayo hayo..Nisaidieni ina maana gani hii??
Acha hizo... Sio poaHujachaguliwa fanya kuapply 4th round haraka
Mm nlikosa 1 nikawa nikiweka details zangu naletewa ivo ....Acha hizo... Sio poa
We ni diploma holder au?Mm nlikosa 1 nikawa nikiweka details zangu naletewa ivo ....
Ila embu cheki kwenye profile yako tcu Kama upo provincially selected mkuu
Nenda ofisi za tcu wanadawati la usaidizi ni muhimu kuwahi.Habari zenu
Nilikuwa najaribu kuingia tcu kuchek kama Niko selected imeniletea hivyo na nimeingiza form 4 index na e-mail pia majibu ni hayo hayo..Nisaidieni ina maana gani hii??
Hiyo ina maana bado hujachaguliwa... Kwa maana nyingine subiri majibu ya third roundHabari zenu
Nilikuwa najaribu kuingia tcu kuchek kama Niko selected imeniletea hivyo na nimeingiza form 4 index na e-mail pia majibu ni hayo hayo..Nisaidieni ina maana gani hii??
Hiyo ina maana bado hujachaguliwa... Kwa maana nyingine subiri majibu ya third round
hii ni third round mzee labda useme nisubiri 4th roundHiyo ina maana bado hujachaguliwa... Kwa maana nyingine subiri majibu ya third round
Mm nlikosa 1 nikawa nikiweka details zangu naletewa ivo ....
Ila embu cheki kwenye profile yako tcu Kama upo provincially selected mkuu
Mi ni diploma holder na hiyo ni for third round maybe nijaribu 4th roundMm nlikosa 1 nikawa nikiweka details zangu naletewa ivo ....
Ila embu cheki kwenye profile yako tcu Kama upo provincially selected mkuu
Majibu ya third round bado..... Kwa vyuo karibu vyote.hii ni third round mzee labda useme nisubiri 4th round
Vyuo vingi bado havijatoa majibu ya third round... Mfano OPEN, MWALIMU NYERERE na vingine vingihii ni third round mzee labda useme nisubiri 4th round