Nisaidie nikusaidie

Nisaidie nikusaidie

Joined
Jun 29, 2015
Posts
96
Reaction score
29
Kuna kitu kinanshangaza hapa ndani MWANAUME akiweka tangazo anatafuta kazi watu watamchunia au kumkaushia ila akiweka BINTI wanajitokeza wadhamini au watu wengi wa kumsaidia.

Hii inamanisha nini?
 
Mkuu, mbona sijaona tangazo la kutafuta kazi alafu anaanza kulalamika?
Yaani unjitekenya mwenyewe, then unaanza kucheka mwenye!!
 
Naona wavulana waliumbiwa matesooo matesoo kuhangaika...
 
Inategemea mkuu, sio kila mtu ana moyo kama wako sababu kuna wangine hata wakisikia jina lakike limetajwa ktika taarifa ya habari wanishiwa pozi!!! ha ha ha ha ha... Udhaifu ambao watu wanajiendekeza tu
I always reply any post that direct reflects and mean to me..........😛ainkiller:
 
Daah hicho hata mi nimekiona men wengi wanaweka matangazo ya kutafuta kazi na hayashobokewi ila msichana akiweka tuuuu Watu wanaanza kutiririka chini mara

Ni PM
Nipe Email yako
Namba yangu ya simu hii
Nitumie CV yako nitakusaidia

Ila mwanaume mwenzio akituma unaanza kejeli na kukosoa kosoa ndo maana mnaliwa na wanaowamiliki.
 
Ina maana kuna watu wanawataka wasichana kimapenzi ndio watoe kazi. Ila ni ujinga tu kwa mtu makini. Mapenzi na kazi haviendani. Ila inategemea na conscious ya mtu
 
Ina maana kuna watu wanawataka wasichana kimapenzi ndio watoe kazi. Ila ni ujinga tu kwa mtu makini. Mapenzi na kazi haviendani. Ila inategemea na conscious ya mtu
wanataka wa kugegeda na siyo mapenzi. hivyo ni vitu viwili tofauti japo vinahusiana
 
iih kweli...
kila sehem ni ahida,ukienda instra..magroup ya wasup..na jf sasa
yan mwanamke akiweka nia yake,hata bila kutajata nini kasoma,wala kuweka cv yake...utasikia nPM,nicheck kwa namba hii...uko wapi!!??

haaa haaa....
lets change guyz!!!!
 
Ni hali ya kawaida sana wakuu,ina maana waajiri wengi ni wanaume wanatumia the law of opposite attraction
 
Na ukiona ni mwanamume na tangazo lako linashobokewa basi ujue ni kweli utapata kazi, lakini wanawake matangazo yao yanashobokewa kinafiki tu, wengi wao wanawalaghai ili wawa nanilii tu.
 
Back
Top Bottom