Kuna kitu kinanshangaza hapa ndani MWANAUME akiweka tangazo anatafuta kazi watu watamchunia au kumkaushia ila akiweka BINTI wanajitokeza wadhamini au watu wengi wa kumsaidia.
Inategemea mkuu, sio kila mtu ana moyo kama wako sababu kuna wangine hata wakisikia jina lakike limetajwa ktika taarifa ya habari wanishiwa pozi!!! ha ha ha ha ha... Udhaifu ambao watu wanajiendekeza tuI always reply any post that direct reflects and mean to me..........😛ainkiller:
Daah hicho hata mi nimekiona men wengi wanaweka matangazo ya kutafuta kazi na hayashobokewi ila msichana akiweka tuuuu Watu wanaanza kutiririka chini mara
Ni PM
Nipe Email yako
Namba yangu ya simu hii
Nitumie CV yako nitakusaidia
Ila mwanaume mwenzio akituma unaanza kejeli na kukosoa kosoa ndo maana mnaliwa na wanaowamiliki.
Ina maana kuna watu wanawataka wasichana kimapenzi ndio watoe kazi. Ila ni ujinga tu kwa mtu makini. Mapenzi na kazi haviendani. Ila inategemea na conscious ya mtu
Ina maana kuna watu wanawataka wasichana kimapenzi ndio watoe kazi. Ila ni ujinga tu kwa mtu makini. Mapenzi na kazi haviendani. Ila inategemea na conscious ya mtu
iih kweli...
kila sehem ni ahida,ukienda instra..magroup ya wasup..na jf sasa
yan mwanamke akiweka nia yake,hata bila kutajata nini kasoma,wala kuweka cv yake...utasikia nPM,nicheck kwa namba hii...uko wapi!!??
Na ukiona ni mwanamume na tangazo lako linashobokewa basi ujue ni kweli utapata kazi, lakini wanawake matangazo yao yanashobokewa kinafiki tu, wengi wao wanawalaghai ili wawa nanilii tu.