Nisaidie mawazo niko njia panda

Nisaidie mawazo niko njia panda

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kwenda kwao .

Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi nami.

Anahitaji matumzo ya watoto hata mtoto akiumwa akimpeleka hospitali basi napigiwa simu ili nirejeshe gharama zilizotumika za matibabu.

Sasa anataka kumpeleka huyu huyu dogo shule nyengine ambayo ni mara mbili ya pesa ambayo niliokua namlipia anataka hizo harama nitowe mimi wakati nahisi itakua sio haki

Nahofu watoto wangu wasijekuona nimewatelekeza ila kufanywa mtaji na mama yao pia naona sio haki

Nisaidie mawazo niko njia panda
 
Me nakushauri usisumbuane na mwanamke kuhusu watoto kama yeye ameamua kuondoka nao wote maana yake anauwezo wa kuwahudumia hivyo ww tulia mwache apambane nao na kama ni shule walipie ile ambayo unaweza nao watoto watakua tu lazima wakutafute ww baba yao hata iweje.usipokuwa makini na mwanamke unaweza kujikuta future yako inaharibika kabisa
 
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kuenda kwao .

Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi nami.

Anahitaji matumzo ya watoto hata mtoto akiumwa akimpeleka hospitali basi napigiwa simu ili nirejeshe gharama zilizotumika za matibabu.

Sasa anataka kumpeleka huyu huyu dogo shule nyengine ambayo ni mara mbili ya pesa ambayo niliokua namlipia anataka hizo harama nitowe mimi wakati nahisi itakua sio haki

Nahofu watoto wangu wasijekuona nimewatelekeza ila kufanywa mtaji na mama yao pia naona sio haki

Nisaidie mawazo niko njia panda
Mbn kiswahili chako cha kuunga jamaa
 
Poleee ila ungeweka wazi kila kitu ingekuwa rahisi kushauri sasa tatizo umeficha sababu ilomfanya aondoke,nadhani shida ipo kwako thuz why hujataka kuweka open all in all tafuta watu wakaongee nae mmalize tofauti then mlee watoto in case ikashindikana huyo wa miaka saba ni kweli unahaki kisheria unaweza kumchukua ila sikushaur kufanya hvo acha tu alelewe na mama wewe endelea na kutoa huduma tu hapo pa kumpeleka mtoto shule ya gharama ni issue simple tu simama kama mwanaume onesha msimamo wako akubal kumpeleka mtoto shule ambayo utaafford kulipia otherwise mpe budget yako then kitachozid awe tayari kuongezeaaa.
 
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kuenda kwao .

Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi nami.

Anahitaji matumzo ya watoto hata mtoto akiumwa akimpeleka hospitali basi napigiwa simu ili nirejeshe gharama zilizotumika za matibabu.

Sasa anataka kumpeleka huyu huyu dogo shule nyengine ambayo ni mara mbili ya pesa ambayo niliokua namlipia anataka hizo harama nitowe mimi wakati nahisi itakua sio haki

Nahofu watoto wangu wasijekuona nimewatelekeza ila kufanywa mtaji na mama yao pia naona sio haki

Nisaidie mawazo niko njia panda
Kwanza nikulaumu inaonekana tangu awali wakati mnaishi pamoja mkeo alikuwa anakuburuza kwa maamuzi na ukawa unamgwaya, kama kaamua kumpeleka mtoto shule nyingine wewe mwambie hautalipa ada, na hana mahali kokote kwa kukupeleka akashtaki,mwisho unatakiwa uwe mwanaume mwenye msimamo acha kulialia
 
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kuenda kwao .

Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi nami.

Anahitaji matumzo ya watoto hata mtoto akiumwa akimpeleka hospitali basi napigiwa simu ili nirejeshe gharama zilizotumika za matibabu.

Sasa anataka kumpeleka huyu huyu dogo shule nyengine ambayo ni mara mbili ya pesa ambayo niliokua namlipia anataka hizo harama nitowe mimi wakati nahisi itakua sio haki

Nahofu watoto wangu wasijekuona nimewatelekeza ila kufanywa mtaji na mama yao pia naona sio haki

Nisaidie mawazo niko njia panda
Ushauri wa mwanzo ambao utakufaa wewe jamii ni kuwa KUWA NA MISIMAMO YA KIUME KWANZA LABLA YA YOTE.

Ukiwa na msimamo wa kiume hautaomba ushauri kuhusu mkeo kupeleka mtoto shule ambayo buwezi kulipa ada,mwanaume atasema Sina hela ya kipa huko,na kweli anakomaa mpaka mtoto arudishwe kwa ada.

Mke kama huyo ameshskujua kwamba wewe huna sauti hivyo anajua akiwachukua watoto ndio atatumia hao watoto kukuvuna wewe kwamba kuna huduma fulani na wewe utatuma tu kwa sababu huna sauti.

Mwisho wa siku wewe ndo unaumia tu,kuwa na misimamo ya kiume aisee.

Kuhusu nani akae nae watoto nadhani wewe kukaa nao huwezi peke yako,hapo ndo panataka busara sasa na endelea kusoma maoni ya wadau
 
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kuenda kwao .

Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi nami.

Anahitaji matumzo ya watoto hata mtoto akiumwa akimpeleka hospitali basi napigiwa simu ili nirejeshe gharama zilizotumika za matibabu.

Sasa anataka kumpeleka huyu huyu dogo shule nyengine ambayo ni mara mbili ya pesa ambayo niliokua namlipia anataka hizo harama nitowe mimi wakati nahisi itakua sio haki

Nahofu watoto wangu wasijekuona nimewatelekeza ila kufanywa mtaji na mama yao pia naona sio haki

Nisaidie mawazo niko njia panda
Kama unampenda pambana umrudishe yeye na watoto. Kama humpendi achana naye yeye na watoto, uwezo wa kuwalea watoto anao hivyo usihangaike kama humpendi.
 
Shida ni kwamba unapelekeshwa na shida kubwa zaidi ni kwasababu kakuona zezeta.

Mwanamke akiamua kuondoka na watoto kwa interest zake kuna mawili.

Cha kwanza,mkae chini mpange namna ya wewe utahudumia watoto kulingana na level ya maisha yako uliyonayo na siku za kuwa na mtoto wako.Akigoma telekeza wote yeye na watoto sababu hilo sio tatizo lako huna hatia.Akipata akili atajua makosa yake atajua mtoto nae ana haki zake,atarudi kwako mtakaa chini mtapanga namna ya kulea watoto.Kumbuka watoto hapo ndo fimbo ya kukuchapia na inakuchapa sababu wewe ni zezeta/huna msimamo na analijua hilo vzr sana

2.Alete watoto ulee wewe.

Halafu mwanamke akiondoka anaachwa aende.Mwanamke ni km kivuli ukikifuata kinaondoka,ukiondoka kinakufuata.

Mwisho unaonekana wewe ndo mwenye makosa ndo mana kaondoka hivyo jithamini km umekosea na hajaondoka kwa kibri chake maybe sasa inabidi ujishushe ujue unalinda vip mahusiano.Kama wewe ndo mkosaji then omba msamaha tu
 
Kuwa na roho ya kiume usipelekeshwe kizembe hivyo... unaboa sanaa aseh
 
Kama ameondoka kwa sababu za uchepukaji hapo ujue anakukomoa. Akili inamuambia kama una hela za maisha ya kuchepuka basi hela za ada ya mara mbili na unapolipia unazo pia.

Sijaona mahali umesema mmehusisha wazazi so yaweza kua sababu ni mbaya zaidi au muungano wenu haukua na baraka za wazazi.

Anyway, kwa umri huo kama mama siyo mlevi, ana akili timamu kisheria watabaki kwake. Kisheria pia utatakiwa kuwahudumia katika namna ambayo hawatohisi tofauti na walipokua na wewe hivyo hapa kuwapeleka shule ya juu zaidi siyo jamba la lazima. Sheria itakubeba.

Husisha wazazi. Ukiona hawakuelewi nenda ustawi.
 
Ulifumaniwa akiwaacha hao watoto si utawabaka kwa umwandu
 
Kuepuka usumbufu wa gharama za kuchomekea juu ya matibabu ya watoto wakatie Bima vinginevyo utanyooshwa haswa.
 
Andika kwanza sababu iliyopelekea mkeo kuondoka...

Pili, mwanamke akisepa na watoto acha apambane na hali yake, kama mwanamke anawapenda watoto wake atakaa chini na mumewe wajue namna bora watavyole na kuwatunza watoto...
 
Wakatie wanao bima ya afya. Nenda ustawi wa jamiii,eleza ataiwa na utamweleza shele ambayo unataka kuwapeleka wanao, kingine mtoto mmoja kwa mwezi ni 20 elfu na debe la mahindi kwa hiyo ww unatakiwa utoe kama 50 elfu na maindi debe 2 kila mwezi yaaani hiyo ndio ghalama ya kuwalea watoto kwa watu walioachana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom