FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,525
- 46,611
Lina urefu wa mita 10 na upana wa mita 10, umeishia darasa la ngapi?
Upo sahihi, ila maelezo yako hayako simple enough kwakeSquare(mraba) uwe na urefu na upana wa mita moja
Inamaana sasa kama eneo ni la 100m²,maana yake lina miraba 100 yenye urefu na upana wa mita moja kila mmoja.
aiseeThis is the special case.
Another special case:
0.1mx1000m