Nisaidie maelezo rahisi ya Square meter( m²)

Nisaidie maelezo rahisi ya Square meter( m²)

Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935

Hii ataiona kubwa sana mkuu ukilinganisha na uhalisia wa ardhini. Unapoambiwa eneo lina 100sqm maana yake ni kuwa ila wastani wa miguu 10 kwa miguu kumi. Na kwa haraka hilo ni eneo linalomezwa na nyumba moja tuu yenye urefu wa 10m na upana wa 10m na huwezi kuweka ata fensi.
 
Squre meter ni SI unit ya area.

So ukitafuta eneo la umbo lolote jibu linopatikana linakuwa na unit ya square meter.

Kama eneo lako ni 100square meter ili kupata vipimo vya eneo lako yapasa useme eneo lako Lina umbo gani

Je Ni
1.mstatiri
2.mraba
3.pembetatu
4.duara
5.trapeza
6.tufe. Etc
 
Nadhani sasa ataelewa
 

Attachments

  • mraba.jpg
    mraba.jpg
    64.4 KB · Views: 83
Ha ha JF hatari jamaa anasema pembetatu unaweza kuelezea square meter 100 je ikiwa square meter 1 jamani acheni utani
 
Twende kwa vitendo mkuu mwenzangu. Hatua moja iliyoshiba kidogo ni sawa na urefu wa mita moja. Hivyo basi eneo lenye hatua kumi upana na hatua kumi urefu, ni eneo lenye mita za mraba 100. Si lazima liwe eneo la hatua 10 kwa 10. Laweza kuwa hata eneo la hatua 20 kwa 5, nalo ni eneo lenye ukubwa wa mita mraba 100. Cha msingi ni hizo number 2 za upana na urefu ukizidisha, jibu liwe 100. Mfano rahisi ni hatua 2 kwa hatua 50, au hatua 1 kwa hatua 100. Ukubwa wa maeneo yote hayo mawili ni mita mraba 100.
"Like" kama umeelewa.
 
Hii ataiona kubwa sana mkuu ukilinganisha na uhalisia wa ardhini. Unapoambiwa eneo lina 100sqm maana yake ni kuwa ila wastani wa miguu 10 kwa miguu kumi. Na kwa haraka hilo ni eneo linalomezwa na nyumba moja tuu yenye urefu wa 10m na upana wa 10m na huwezi kuweka ata fensi.
Asante kwa maelezo rahisi
 
Twende kwa vitendo mkuu mwenzangu. Hatua moja iliyoshiba kidogo ni sawa na urefu wa mita moja. Hivyo basi eneo lenye hatua kumi upana na hatua kumi urefu, ni eneo lenye mita za mraba 100. Si lazima liwe eneo la hatua 10 kwa 10. Laweza kuwa hata eneo la hatua 20 kwa 5, nalo ni eneo lenye ukubwa wa mita mraba 100. Cha msingi ni hizo number 2 za upana na urefu ukizidisha, jibu liwe 100. Mfano rahisi ni hatua 2 kwa hatua 50, au hatua 1 kwa hatua 100. Ukubwa wa maeneo yote hayo mawili ni mita mraba 100.
"Like" kama umeelewa.
Hapa umeeleweka mkuu,ndicho nilikua nataka kuelewea kwa picha halisi ya kuliko kinadharia
 
Hapana mkuu, nikikutana na matangazo ya uuzwaji nyumba,viwanja nk hua natamani nipate picha halisi ya ukubwa na eneo hata kama sijaliona,Mara nyingi inakua katika m².
Vp unataka uuziwe eneo lenye ukubwa wa sqmt 100 nini?

Ova
 
Hapana mkuu, nikikutana na matangazo ya uuzwaji nyumba,viwanja nk hua natamani nipate picha halisi ya ukubwa na eneo hata kama sijaliona,Mara nyingi inakua katika m².
Ok.....ni vzuri kutaka jua

Ova
 
Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
Eeeh baba

Asipoelewa hapa

 
Habari wakuu,

Kama eneo lina square meter 100 (100 m²) tafsiri yake rahisi ni ipi?
Je maana yake kila upande uko sawa kwa mita 100 kwa maana ya urefu na upana?

Au eneo linakua kubwa au dogo zaidi ya mita 100? Kwa kila upande?

Naomba kufahamishwa.

Ahsante.
Ni sawa na vipimo kwa urefu zidisha na upana wa eneo. Mdau ameshakuambia mfano ni mita kumi kwa kumi, au moja kwa mia kwa vyovyote vile jibu liwe 100.
 
Sawa mkuu
Ni sawa na vipimo kwa urefu zidisha na upana wa eneo. Mdau ameshakuambia mfano ni mita kumi kwa kumi, au moja kwa mia kwa vyovyote vile jibu liwe 100.
 
Back
Top Bottom