Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 14,982
- 35,103
Habari wakuu,
Kama eneo lina square meter 100 (100 m²) tafsiri yake rahisi ni ipi?
Je maana yake kila upande uko sawa kwa mita 100 kwa maana ya urefu na upana?
Au eneo linakua kubwa au dogo zaidi ya mita 100? Kwa kila upande?
Naomba kufahamishwa.
Ahsante.
Kama eneo lina square meter 100 (100 m²) tafsiri yake rahisi ni ipi?
Je maana yake kila upande uko sawa kwa mita 100 kwa maana ya urefu na upana?
Au eneo linakua kubwa au dogo zaidi ya mita 100? Kwa kila upande?
Naomba kufahamishwa.
Ahsante.