lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,224
- 2,772
Nimeona watu wanaishi vzr tu na wana dini tofauti... Dini barabara tu makubaliano ni nyinyi wawili maamuz ni nyny
Daah! Ulikua wapi joseverest, hii Mada umekua wa nne ku reply... Too lateCha kufia nini na wanawake wapo wengi tu mkuu
Me nikwambie ukweli hapo pa kumuoa pazito lbda akubali mwanamke mwenyew ukamuoe bomani ila wazazi wake hawatokubl milele kwasabbu sheria ya ndoa ya kiislam kigezo cha mwanzo ni dini lzma zifanane ndoa ndo inasihi na kua halali bila dini zinaa inabakia pale pale unamuoa au kuolewa na mtu kwaHabari zenu wana JF, ni matumaini yangu kuwa mko pouwa!!
Lengo la kuandika huu uzi ni kutokana kushindwa kufikia maamuzi sahihi .
Kuna binti nlikutana nae mwaka mmoja umepita hadi sasa ilikuwa ni mwezi wa 6/6/2016, Muda kidogo nlianzisha uhusiano nae!
Kiukweli ninampenda na hitaji langu ikibidi awe mke wangu. Tatizo ni dini yeye ni muislam na mimi ni mkristo. Swala la imani nadhani mnalifaham jinsi lilivyo kifupi wazazi wake waliishakataa hilo swala la yeye kutaka kubadili dini na upande wangu pia ni hivyo
Kiukweli nampenda na yeye ananipenda ila hicho ndo kikwazoo
Nipo njia panda hadi sasa
[HASHTAG]#mawazo[/HASHTAG] yenu wakuu#
Hadi sasa hilo swala kwangu la kubadili dini Nimeisha lifuta kabisaDuuh! Aisee huna bahati,... Mimi laiti ningetaka kuwabadilisha hawa mabint wa kiislam kuwa wakristo kwa kigezo cha ndoa, ni wengi walinikubalia kwakua wanasema, wanapenda ndoa ya Mke mmoja, na thamani ya mwanamke katika ndoa za kikristo, kwani hata huyu niliyenae alikua muislam, na sasa ni mkristo saafi kabisa .... Anyway.. Sasa nikushauri tu kwamba, mwanaume habadilishi dini yake kwa ajili ya mke, hiyo ni balaa..... Sisemi hivyo kwakua wewe ni mkristo, la! Mwanamke akishapewa thamani hiyo, hujiona kapewa kapewa nguvu isiyofanana ya thamani kwenye mapenz yenu,... Thamani hiyo ndio itayompa kiburi ya kulazimisha akisemacho yeye ukisikilize na kukifanya kwakua kama amekushinda kwenye jambo la imani anaamini hakuna litakaloshindikana yeye kukunyoosha,... Mwanaume ukishasimama imara, ndoa yako itakua imara kwakua mwanaume ndio steering wa mchezo kwenye ndoa..... Usijaribu kufanya hivyo
Aliwaambia wazazi wake kuhusu swala la yeye kubadili dini! Walichomjibu ni kwamba, endapo tu atafanya maamuzi hayo bac ajue wale co wazazi wake na ackanyage nyumbani kwao maishaaaaaMe nikwambie ukweli hapo pa kumuoa pazito lbda akubali mwanamke mwenyew ukamuoe bomani ila wazazi wake hawatokubl milele kwasabbu sheria ya ndoa ya kiislam kigezo cha mwanzo ni dini lzma zifanane ndoa ndo inasihi na kua halali bila dini zinaa inabakia pale pale unamuoa au kuolewa na mtu kwa
1.dini yake
2.Kipato chake
3.Uzur wake
4.Nasaba yake
Ivi vyote sio lazima vitimie as long as ana matendo mema na umempenda ila dini tu hakuna ndoa nje ya dini ndo mana unakuta wengi muislam mkristo wanaishi tu kuzaa au wanafunga bomani mana mskitin hata wafunge hakuna ndoa hapo wengi wanalala kusema kwamba waislam wanabagua kwenye ndoa ila sio matakwa ya mtu ni sheria inabana na yeyote mwenye kuamin anaogopa kujvunja sheria yni unakut kila mmoja hayupo tayar kubadil ili amfte mwenzake kwa uislam lzma upate muislam au muislam abadil amfate mkristo ahamie huko wafunge kanisan au mkristo abadil amfate mwanamke muislam ili apewe mke kila mmmoja hayupo tayar
Ushaur
Mapez mabaya angalien nafs zenu zinataka nini wazaz hawatokubal milele mwanamk hapo ndo muamuz wengne wanakubal kuwasalit wazaz wengine hawakubl wanakuacha kwaio kaa na mwanamke kwanza mcklze yupo upande gan ufanye maamuz akufate au umfate au muachane kila mtu aende anakomin
Sawa mkuu nimekuelewaDawa ni moja tu, tia MIMBA. Afu sikia usijifanye kilaza nawewe, hivi unataka turudie mara ngapi kukwambia! Acha kutupotezea muda.
Kiufupi kwake yeye kuna kaubishi flani anakoc muondoke mkaishi maisha yenu hao wazazi watawaelewa tu sasa mtadanga hadi lini eti kisa wazazi mpe mimba mzae mlee unawaza mtoto akifa je wew utaishi milele kwani wanaokufaga wanaliwa nyama? au huna helaa uwiii metii mbesa chaliii
Kabisaachaneni kwa amani tu, kila mmoja atafute wa dini yake
Hiyo ninaweza binafsi ila yy hataki na wazazi pia hawatakiVipi kuishi kila mmoja na dini yake baada ya kufunga ndoa serikalini, inakubaliwa?
AmeeeeeeenKwenye hiyo ndoa yenu
1. Wazazi watashiriki nanyi Tendo la Ndoa?
2. Watawalea watoto wenu kila siku?
3. Watapanga nanyi bajeti yenu ya matumizi?
KUWENI WATU WAZIMA! ACHENI UTOTO!
Hakuna sheria inayowalazimisha kusikia ya wazazi kuhusu dini na kwa taarifa yenu KWA MUNGU HAKUNA DINI, NI IMANI YAKO TU!
Msipumbazike.
Nimepitia huko mlikopitia.
Wakimeza, wakisusa, shauri yao, na si lazima mfanye harusi kubwa. WAO SIO MUNGU kujua mmepangiwa nini maishani mwenu! Kwa hiyo SAMEHENI hata hiyo harusi kubwa. Nawatakieni Baraka za Jehovah!
Nitafanya tena kwa mara nyingine kuhusu hiloKaeni mzungumze wenyewe wawili kama mnapendana kiasi cha kuwa tayari kuoana pamoja na mapingamizi makubwa mbele yenu. Mjadili pia mkijaaliwa kupata watoto watafuata dini ipi.
Mkiweza kufikia makubaliano basi muombeni Mungu wenu awape afya njema, heri na baraka katika ndoa yenu. Kisha muendeelee na safari yenu na muwafahamishe wazazi wa pande zote mbili kuhusu maamuzi yenu.
Mkuu inabidi mufanye maamuz ya busara nyinyi wawili wawil wzaz hawakubal milele ndo mana mm naishiaga tu kutuliza moyo wangu mana najua mbele kuna kikwazo tu yani sheria ya ndoa ni lazima islam islam ndio ndoa inaswihi kwaio kaeni nyinyi wawil mkubaliane binti nafc yake inasemajeAliwaambia wazazi wake kuhusu swala la yeye kubadili dini! Walichomjibu ni kwamba, endapo tu atafanya maamuzi hayo bac ajue wale co wazazi wake na ackanyage nyumbani kwao maishaaaaa
Mbona unaropoka vitu bila ya elimu Uislamu sio dini yakuelezewa na kila mtu inabidi kwanza uusome ndo uzungumzie Mungu akuongoze ufahamu nini unacho kipinga!!!Mwanamke hana dini
Kama ungekuwa Mkristo kweli usingekuja na swali hilo hapa labda ungeleta ushuhuda wa kumpeleka kondoo zizini mwa Bwana lakini sio kwa ahadi ya ndoa bali kwa injiili na elimu kwamba anaabudu miungu ya Waarabu
Uislam ni upagani ulioboreshwa na Muhammad
huyo siyo mkeo unalazimisha tu na huko mbveleni mtatoboana macho.. mtoto ni wababaAmegoma anadai watoto wakizaliwa itakuaje
ha ha ha yani ukilogwa tu khee ila kama utahaa kwa utashi wako mwenyewe safiKiufupi kwake yeye kuna kaubishi flani anako
Ananishawishi kwa nguvu zote niwe upande wa imani yake
Hiyo ni pesa mkuuuNdo nn hicho mkuu