Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 9,231
- 10,468
Dodoma town.... wewe upo wapi? upo dodoma?DODOMA SEHEMU GANI MI PIA NAHITAJI
Dodoma town.... wewe upo wapi? upo dodoma?DODOMA SEHEMU GANI MI PIA NAHITAJI
HEASBU NI JANGA LA LITAIFA.ZIDISHA 20 X 20 X BEI 11500 UTAPATA JIBU.TUMIA CALCULATORHapa Bwawa la 20×20 ina kuwa shilling ngapi
NIPO DODOMA MJINI ELEZA WAPI MKUU NIFUATEDodoma town.... wewe upo wapi? upo dodoma?
SASA HAYO SI YANATOBOKA BAADA YA MUDA MFUPI?KUNA MENGINE YANAITWA BLACK FILM COURSE MAGUMU ZAIDI KULIKO HIYO GEO PROOF MEMBRANE (GPM)Zinaitwa geo membrane plastics,hakuna utofauti na kujengea kwa sementi labda kama unataka kila ukivuna ununue nyingine sawa
Huyajui mkuu,yapo mpaka ya 15yrs,unafanya repair ndogondogo tu.kuna utofauti wa thicknesses naloliongelea hapa ndio highest na hata la mwisho nalo si chini ya 2yrsSASA HAYO SI YANATOBOKA BAADA YA MUDA MFUPI?KUNA MENGINE YANAITWA BLACK FILM COURSE MAGUMU ZAIDI KULIKO HIYO GEO PROOF MEMBRANE (GPM)
AHSANTE MKUU ILA PAKU YAPATA NI WAPI MI NIPO DOM MJINIHuyajui mkuu,yapo mpaka ya 15yrs,unafanya repair ndogondogo tu.kuna utofauti wa thicknesses naloliongelea hapa ndio highest na hata la mwisho nalo si chini ya 2yrs
Weka namba ya simu.Mi pia nipo Dom sijawahi ona ofisi za Voda kizotaofisi za voda kizota hapa si una zifahamu?
Tuwasiliane ndugu, zinaitwa dam liner au HDPE(high density polyethylene ) zipo za aina mbili hapa ofisn kwetu zenye unene wa 0.5mm tunauza 8,500 per sqm , na zile za 1mm tunauza 11,500 per sqm kujua size ya liner utayohitajiHabari wana jf,nimekua msomaji wa mada mbalimbali hapa jukwaani na nimenufaika kwa kiwango kikubwa.kupitia elimu nilioipata jf nilianzisha mradi wa kufuga samaki bwawani.nina bwawa la sment ambalo nalitumia kufuga lakin nataka niongeze bwawa jingine la ghalama nafuu.Leo najitokeza kuuliza Wapi wanapouza zile niro wanazotumia kutandika kwenye mabwawa hususan ya Samaki.nikipata mawasiliano itapendeza zaidi.
Huwa zina upana gani hizi ?yaan mfano nataka kwaajili ya Bwawa la mita Tatu kwa Tano itanibidi nixhukue mita ngapi?Tuwasiliane ndugu, zinaitwa dam liner au HDPE(high density polyethylene ) zipo za aina mbili hapa ofisn kwetu zenye unene wa 0.5mm tunauza 8,500 per sqm , na zile za 1mm tunauza 11,500 per sqm kujua size ya liner utayohitaji
Urefu wa liner = Urefu wa bwawa+(depth x2) + 1
Upana wa liner = upana wa bwawa+(depthx2) + 1
Eneo = upana wa liner x uref wa liner
Eneo x ( price per sqm) utapata kiasi cha pesa unachotakiwa
Wasiliana na sisi kwa numbari 0763347985/0673000103(Eng Octavian Lasway)
Habari wana jf,nimekua msomaji wa mada mbalimbali hapa jukwaani na nimenufaika kwa kiwango kikubwa.kupitia elimu nilioipata jf nilianzisha mradi wa kufuga samaki bwawani.nina bwawa la sment ambalo nalitumia kufuga lakin nataka niongeze bwawa jingine la ghalama nafuu.Leo najitokeza kuuliza Wapi wanapouza zile niro wanazotumia kutandika kwenye mabwawa hususan ya Samaki.nikipata mawasiliano itapendeza zaidi.
3mx5m bado hujanipa depthHuwa zina upana gani hizi ?yaan mfano nataka kwaajili ya Bwawa la mita Tatu kwa Tano itanibidi nixhukue mita ngapi?
3mx5mx1m utatumia liner yenye 6mx8m , 48sqmKanuni zako ni ngumu sio kila mtu anaweza kuelewa kwa urahisi.kina changu ni mita moja
0763347985/0673000103Upo Wapi ,nahitaji wiki hii