lawyerrr
Member
- Jun 20, 2017
- 66
- 60
Habari wana jf,nimekua msomaji wa mada mbalimbali hapa jukwaani na nimenufaika kwa kiwango kikubwa.kupitia elimu nilioipata jf nilianzisha mradi wa kufuga samaki bwawani.nina bwawa la sment ambalo nalitumia kufuga lakin nataka niongeze bwawa jingine la ghalama nafuu.Leo najitokeza kuuliza Wapi wanapouza zile niro wanazotumia kutandika kwenye mabwawa hususan ya Samaki.nikipata mawasiliano itapendeza zaidi.