Nirejeshe vipi mkopo?

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Sep 20, 2020
1,636
3,810
Habari wanaJF,

Mimi nimenufaika na mkopo kutoka benki fulani...sasa marejesho yako ni 16000/= kwa siku ni kwa muda wa miezi 18.

Ila biashara nayofanya kwa siku ninaweza kupata 20000/= ambayo nikilipa yote muda wa mkopo utapungua na kufikia miezi 13.

Sasa swali langu kuna haja ya kuweka kipato cha juu zaidi kuliko yale marejesho ya bank?

Au nirudishe kutokana na mahitaji ya bank na pesa ingine iliozidi nifanye mambo mengine?

Naombeni ushauri aisee.
 
Back
Top Bottom