Nipo serious

Haya endelea kusubiri hapa hapa hicho kiapo...
Andika hivi mimi ku sijawahi kulalana wala kumtamani mwanamke ovyo nawala sijamkiss wala kumuhug nakama na danganya jogoo langu lisisimame kamwe.
Ukiandika hivyo utakuwa umeapa
 
Andika hivi mimi ku sijawahi kulalana wala kumtamani mwanamke ovyo nawala sijamkiss wala kumuhug nakama na danganya jogoo langu lisisimame kamwe.
Ukiandika hivyo utakuwa umeapa
Haya ndio hivo umenisaidia kuandika sasa..
 
Andika hivi mimi ku sijawahi kulalana wala kumtamani mwanamke ovyo nawala sijamkiss wala kumuhug nakama na danganya jogoo langu lisisimame kamwe.
Mimi cjawahi kulala Wala kumtamani ovyo wanawake, sijakiss Wala kuhug na Kama na Dan ganya jogoo lisisimame kamwe
 
Wewe mwenyewe ni bikra kweli au unataka wenzio ndo wawe mabikra??
 
Umemaliza mitihani salama.

Anza kujiandaa na sup kwenye September conference.
 
Nyie kila kukicha nataka mwenye bikra sijui nini blah blah sasa mimi nataka mwanaume bikra kam nyie ambaye hata hajamkiss mdada licha amle.
wewe usijilinganishe na bina damu yeyote humu sio kwa sababu mtu kasema anapenda au anataka chai na wewe ufanye kisa eti mbona nyie mnafanya hivi na vile........ be your own
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…