mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,268
Mi huyu sikuwa na relation nae na nilikuwa mdogo sana kwake ni rafikiHivi mtu utajickiaje ukiona hbri kama hizi mwanaume mwenzako anamtafta mkeo tena kwenye hadhara kama hpa jf! Nawaza2 kwa sauti
anafutwa vizuri tu na asipokuwa makini ndo hivyo tena, sema huyu alikuwa dogo sanaHivi mtu utajickiaje ukiona hbri kama hizi mwanaume mwenzako anamtafta mkeo tena kwenye hadhara kama hpa jf! Nawaza2 kwa sauti
Sasa si amekua? Anatafuta rokifi huyu.anafutwa vizuri tu na asipokuwa makini ndo hivyo tena, sema huyu alikuwa dogo sana
Jamani sio hivyoSasa si amekua? Anatafuta rokifi huyu.
Muache tu. Mjini hapa ukikutana na mtu kimjinimjini unaachana nae kimjinimjini, Sasa naona dogo kanogewa mpaka anamtafuta kupitia JF, Kuna kitu anakutafuta kwa hamu sana.Watu mnatafutana sana!....
Kila kheri umpate
Huwa tunasema tu Kama ushauri, Sasa usipokuwa na machale utajikuta ringi zimekata.Jamani sio hivyo
Hivi mtu utajickiaje ukiona hbri kama hizi mwanaume mwenzako anamtafta mkeo tena kwenye hadhara kama hpa jf! Nawaza2 kwa sauti
Penye Uzia penyeza rupia unataka information za watu domo tupu toa 50K sasa hivi utapewa number yake ya simu mkoa gani mpk mtaa na nyumba anayoishi wewe una bwabwaja hapa nilisoma UD so what toa fedhaaa Mkuluuuuu.Tulipanda wote daladala kutokea ubungo 2013. Nilikuwa nasoma UD Certificate ya law. Ukaniambia ulisoma Mwalimu Nyerere, UD na wakati huo ulikuwa unachukua masters, uliniinspire kwa mengi ukaniambia Mtwa soma kwa bidii vitu mbalimbali, Nilikuuliza kama unatumia jamii forum ila sikumbuki jibu lako.
Niliona nisishukie Kiluvya kwa Komba nikashukia maili moja kwaajili yako.
Sidhani kama tulionana tena ila tulikuwa tunawasiliana kama dada yangu wa heshima. Pole maana nikiwa Mbeya ulimpoteza baba etu mzee wetu aliyekuwa anafanyia DAWASCo kama sikosei.
Samahani kwa bingo ila nimekosa njia nyingine ya kukutafuta, nakuomba nitafute ndugu yangu maana hata simu haipatikani.