Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.