Nipo njiani naelekea ukweni kujitambulisha. Kipi cha kuzingatia?

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Baada ya muda mrefu kupita leo niko njiani naelekea ukweni kuonana na baba mkwe kwa mara ya kwanza ili kujitambulisha na kujuana nae.

Naombeni mnipe info kipi cha kuzingatia punde tu nitakapokutana nae,

Baba mkwe wangu ni Mchungaji wa kanisa flani, ni wa kuheshimika sana,

Code zangu nilizovaa leo, Chini raba nyeupe, kati suruari ya kitambaa haijafika chini sana imeishia kwenye joint ya miguu,
Juu shati jeupe la mikono mirefu nimechomekea bila mkanda.

Zawadi nilizobeba vitenge na kanga kwa ajiri ya mama mkwe, matunda na vitu kadhaa tu.

Je, ni kitu gani cha kuzingatia punde tu nitakapofika na kuonana nae,
Mazungumzo yetu na nk. Natakiwa kubehave vipi wakuu?

Nasubiri maoni yenu ili nisije kuboronga.

Cc Zero IQ.
 
Haha matunda??

Beba sukari.
Zawadi hutegemea na kabila uliko oa.
Matunda tupa kulee;

1. Blanket la mshua
2. Kwa mama maona uko sawa.

Note; Hiyo dressing code yako raba na suruali ya kitambaa...no koment

Ina kaukakasi flani
 
hiyo code yako ya raba na suruali ya kitambaa😂
ungevaa tu kadet au jinsi ya rangi moja isiyo na mdoido ya kibishoo na kiatu cha ngozi au raba isiyo ya kibishoo. Unaweza valia na shati au tisheti. ukachomekea au usichomekee.
 
Haha matunda??

Beba sukari.
Zawadi hutegemea na kabila uliko oa.
Matunda tupa kulee;

1. Blanket la mshua
2. Kwa mama maona uko sawa.

Note; Hiyo dressing code yako raba na suruali ya kitambaa...no koment

Ina kaukakasi flani
Dressing code sio ina kaukakasi hapana bali amezingua hapo kwenye raba toa weka kiatu tena cha kubrash itapendeza kama kitakuwa cheusi na mkanda lazima tena mkanda uwe the same na rangi ya kiatu shat sawa kabisa
 
Back
Top Bottom