Mimi ni binti wa miaka kadhaa, ninafanya kazi kwa maana ya muajiriwa, nina mahusiano, sina mtoto
Kiafya Status yangu ni HIV+ (ugonjwa unawapata binadamu so zngatia kauli ikiwa wewe ni binadamu, ila kama wewe sio binadamu niongelee vibaya). Tangu nimegundua nina hali hiyo huu ni mwaka wa 5 sasa. Story ya hii ishu ni ndefu ila kwa ufupi ni hivi
Katika ukuaji nikapata mchumba, sasa kwa ugeni wa mapenzi sikuwa na akili ya kupima jumlisha na ndo mpenzi wa kwanza basi nilimuamini kwa kila Pumzi imtokayo, mambo yakawa mambo ikawa kuja nyumbani ikawa kunichumbia kwahiyo katika process za kuitafuta ndoa pamoja naye nilijikuta nimeambukizwa kwa hasira uchungu na maumivu hayo sikuweza kuvumilia neno. Ilinilazimu kuachana na yule kijana hivyo mahusiano yetu yaliishia hapo. (hii sio topic)
Hivyo sasa ilinichukua miaka miwili kukaa sawa psychologically. Nikapata rafiki nikamuambia ukweli wangu wote naye hakunichukulia tofauti, akaanza kama rafiki baadae tukawa wapenzi. Kipind hiko hiko akaja rafik mwngne nikaruhusu ukarbu naye akahtaji zaid ya urafik nilimkatalia sabab tayar nina mpenzi ambaye kiukweli nisingependa kumvuruga ata robo maana mtu amenikubal kama nilivyo alafu nimvuruge NO THANX, so nilimpenda sana sana sana. Huyo rafik wa pili nilimkwepa sana na alisisitiza kuwa namm kisha utachagua yupi wakweli mnajua wanaume kauli zenu lakin sikukubaliana naye.
Kitu pekee nilichomwambia ni ubaki kwenye urafiki tu japo kila akipiga smu au kutuma sms maombi yake n yale yale, nikikasirika na kumtishia kumblock anacha kwa muda kisha siku zngne anadokezea so hali ikawa hivyo. Kwahyo wakat naendelea na mahusiano na huyo mpenz wangu huyo rafk nae alikua bado n rafik na hajakata tamaa.
Heka heka za mpenz na mpenzi wangu zikaanza, hakua mwaminifu, tulizinguana kwa ishu za kuwa na wanawake wengne wawili tofaut ubaya pia wakat anafanya maamuzi ya kunikubali mm na hali yangu so kwangu mimi ikawa kama bahati so ye alisema kiafya mm nipo okay so hatukupima tena sababu victim n mm (i had nothing to loose tupime au tusipime sababu alikua ameshanikubalia). Na nilikua DHAIFU hata tukigombana nakua mpole tu maana niliona kama nafanyiwa msaada tu so nilikua navumilia, kuna muda naona lolote na liwe naamsha maswali ananichunia hajibu bas najipendekeza tena maana nam-miss so nayeye alijua kuwa sina pa kuelekea wala siwezi kumuacha. Mikiki ikazidi kuachana na kurudiana kama mara tatu. Kilichokua kinanifanya nimsamehe ni kuhisi kwamba HE IS MY SAVING GRACE
yaan nikiachana naye n nan atanikubali mimi nikiwa na hali hii.
Huu ni mwaka wa 3 huu kwenye mahusiano, mpenzi wangu anakuaga na utan tu wa lini tunaenda nyumbani na lini napeleka mahari basi namm najijumlishia hapo namjibu
, nikishamjbu anapotezea mada siku zinazidi kukata. Jaman kwa umri wangu nahitaj kuwa na familia nahitaj sana kuwa na mtu ambaye mbele ya familia nitokayo nitasimama naye kama mwenzangu, lakini zaid ya sana nahitaji mtoto angalau mmoja tu so nmeona imekua kama ujanja tu wa kunipa matumaini ya kuendelea kubaki naye (note: toka naanza naye mahusiano hatukuwa tumia kinga, kila nikimsisitiza kinga anasema usijali)
So mwezi uliopita, nikaona nimpe nafasi ya mpenzi yule rafik ambaye miaka yote 3 nmempa nafasi ya urafiki tu. Lakini this time nikamuambia ukweli mimi ni muathirika ili nione kama atakubali, Akasema sio tatizo japo mwanzo alihisi nmeamua nitumie kigezo hicho kumkataa, anaishi mkoa mwingine tofaut namm. Alikuja mkoani kwangu tukaenda hosp tukapima ahakikishe kama ni kweli na akanitia sana moyo na anahitaj kunioa. Jaman tuna miezi miwili tu, ni kweli namfaham sana ni mkaka ana sifa zote za kuwa mume kuna muda namuuliza hiv kweli huwez pata mwanamke mwngne anajibu Kwa kuniita jina langu, sihitaji mwanamke nahitaji MKE ambaye ni wewe huwa nalia
.
Sasa mimi moyo upo kwa yule mwingine, na sijui namuachaje ili niendelee na huyu. Hatukupima na yule sa naogopa nikisema nimchinjie baharini what if ikawa hakua nao wakat tunakutana alaf nikawa nmemuacha ikiwa nmemuambukiza nitalaanika
, japo anasumbua na haeleweki lakn nampenda. Huyu wa sasa nikimtafakari naona hadi sura za watoto wangu
, ananiulizia afya yangu kila siku, ananikumbusha dawa kila ifikapo muda wa dawa, mambo ambayo yule hajui atakama nilishaanza dawa au la. Huyu wa pili kingne ana hofu ya Mungu namfaham so hajawahi hata niulizia swala la kulala naye kwa kipindi hiki
Kiukweli nipo njia panda sijui nampiga tukio gani yule aniache yeye ili isiwe mm ndo nmemuacha
Mlotangulia kuona jua naombeni mawazo yenu tafadhali
NB: Mimi binadamu na nina moyo na nyongo pia, zingatien kauli zenu katika ushauri wenu
Kiafya Status yangu ni HIV+ (ugonjwa unawapata binadamu so zngatia kauli ikiwa wewe ni binadamu, ila kama wewe sio binadamu niongelee vibaya). Tangu nimegundua nina hali hiyo huu ni mwaka wa 5 sasa. Story ya hii ishu ni ndefu ila kwa ufupi ni hivi
Katika ukuaji nikapata mchumba, sasa kwa ugeni wa mapenzi sikuwa na akili ya kupima jumlisha na ndo mpenzi wa kwanza basi nilimuamini kwa kila Pumzi imtokayo, mambo yakawa mambo ikawa kuja nyumbani ikawa kunichumbia kwahiyo katika process za kuitafuta ndoa pamoja naye nilijikuta nimeambukizwa kwa hasira uchungu na maumivu hayo sikuweza kuvumilia neno. Ilinilazimu kuachana na yule kijana hivyo mahusiano yetu yaliishia hapo. (hii sio topic)
Hivyo sasa ilinichukua miaka miwili kukaa sawa psychologically. Nikapata rafiki nikamuambia ukweli wangu wote naye hakunichukulia tofauti, akaanza kama rafiki baadae tukawa wapenzi. Kipind hiko hiko akaja rafik mwngne nikaruhusu ukarbu naye akahtaji zaid ya urafik nilimkatalia sabab tayar nina mpenzi ambaye kiukweli nisingependa kumvuruga ata robo maana mtu amenikubal kama nilivyo alafu nimvuruge NO THANX, so nilimpenda sana sana sana. Huyo rafik wa pili nilimkwepa sana na alisisitiza kuwa namm kisha utachagua yupi wakweli mnajua wanaume kauli zenu lakin sikukubaliana naye.
Kitu pekee nilichomwambia ni ubaki kwenye urafiki tu japo kila akipiga smu au kutuma sms maombi yake n yale yale, nikikasirika na kumtishia kumblock anacha kwa muda kisha siku zngne anadokezea so hali ikawa hivyo. Kwahyo wakat naendelea na mahusiano na huyo mpenz wangu huyo rafk nae alikua bado n rafik na hajakata tamaa.
Heka heka za mpenz na mpenzi wangu zikaanza, hakua mwaminifu, tulizinguana kwa ishu za kuwa na wanawake wengne wawili tofaut ubaya pia wakat anafanya maamuzi ya kunikubali mm na hali yangu so kwangu mimi ikawa kama bahati so ye alisema kiafya mm nipo okay so hatukupima tena sababu victim n mm (i had nothing to loose tupime au tusipime sababu alikua ameshanikubalia). Na nilikua DHAIFU hata tukigombana nakua mpole tu maana niliona kama nafanyiwa msaada tu so nilikua navumilia, kuna muda naona lolote na liwe naamsha maswali ananichunia hajibu bas najipendekeza tena maana nam-miss so nayeye alijua kuwa sina pa kuelekea wala siwezi kumuacha. Mikiki ikazidi kuachana na kurudiana kama mara tatu. Kilichokua kinanifanya nimsamehe ni kuhisi kwamba HE IS MY SAVING GRACE
yaan nikiachana naye n nan atanikubali mimi nikiwa na hali hii. Huu ni mwaka wa 3 huu kwenye mahusiano, mpenzi wangu anakuaga na utan tu wa lini tunaenda nyumbani na lini napeleka mahari basi namm najijumlishia hapo namjibu
, nikishamjbu anapotezea mada siku zinazidi kukata. Jaman kwa umri wangu nahitaj kuwa na familia nahitaj sana kuwa na mtu ambaye mbele ya familia nitokayo nitasimama naye kama mwenzangu, lakini zaid ya sana nahitaji mtoto angalau mmoja tu so nmeona imekua kama ujanja tu wa kunipa matumaini ya kuendelea kubaki naye (note: toka naanza naye mahusiano hatukuwa tumia kinga, kila nikimsisitiza kinga anasema usijali)So mwezi uliopita, nikaona nimpe nafasi ya mpenzi yule rafik ambaye miaka yote 3 nmempa nafasi ya urafiki tu. Lakini this time nikamuambia ukweli mimi ni muathirika ili nione kama atakubali, Akasema sio tatizo japo mwanzo alihisi nmeamua nitumie kigezo hicho kumkataa, anaishi mkoa mwingine tofaut namm. Alikuja mkoani kwangu tukaenda hosp tukapima ahakikishe kama ni kweli na akanitia sana moyo na anahitaj kunioa. Jaman tuna miezi miwili tu, ni kweli namfaham sana ni mkaka ana sifa zote za kuwa mume kuna muda namuuliza hiv kweli huwez pata mwanamke mwngne anajibu Kwa kuniita jina langu, sihitaji mwanamke nahitaji MKE ambaye ni wewe huwa nalia

. Sasa mimi moyo upo kwa yule mwingine, na sijui namuachaje ili niendelee na huyu. Hatukupima na yule sa naogopa nikisema nimchinjie baharini what if ikawa hakua nao wakat tunakutana alaf nikawa nmemuacha ikiwa nmemuambukiza nitalaanika

, japo anasumbua na haeleweki lakn nampenda. Huyu wa sasa nikimtafakari naona hadi sura za watoto wangu
, ananiulizia afya yangu kila siku, ananikumbusha dawa kila ifikapo muda wa dawa, mambo ambayo yule hajui atakama nilishaanza dawa au la. Huyu wa pili kingne ana hofu ya Mungu namfaham so hajawahi hata niulizia swala la kulala naye kwa kipindi hikiKiukweli nipo njia panda sijui nampiga tukio gani yule aniache yeye ili isiwe mm ndo nmemuacha
Mlotangulia kuona jua naombeni mawazo yenu tafadhali
NB: Mimi binadamu na nina moyo na nyongo pia, zingatien kauli zenu katika ushauri wenu
